Wadau naomba ushauri wenu, nahitaji kununua kati ya IST toleo la 2005 au WISH ya 2007 ni ipi inafaa zaidi kwa TZ?
Pia nataka ninunue kupitia tradecarview japo nipo Japan kwa miezi minne zaidi lkn sina uhakika na yard zao pia lugha ni tatizo wengi hawajui kiingreza. Naomba uzoefu wenu.
Sio siri kazidisha sifa sasa utadhani Mcharoo tunaumizana roho jamaaaa....
Tutapoteza salamu toka kwa marafiki zetu akikuona unakuja tu anatafuta chochoro.
Viongozi wao wanakuja na hoja nyepesi eti wamekosa ubingwa sababu Hajibu, Kiiza na Kessy wamehujumu timu nao wameridhika kabisa.
Wachezaji wengi wakiondoka yanga kwa nyodo uwa wanazimika jumla namkumbuka Said Suweid Scud aliifunga simba mechi zote mbili za ligi akaanza ufaza watu wakamkata na umaarufu ukaishia hapo.
Tatizo la yanga mara zote wanapocheza na azam wanaanza vizuri lakini wakishapata goli wanaanza kujihami kujiangusha na kupoteza muda mpaka goli linarudi ndio wanahaha kutafuta lingine wakati muda umeisha na kutengeneza droo ya kizembe.
Mara zote tunapotoka sare na Azam uwa wanachomoa wao tena...
Coast wamevuna walichopanda mgogoro wao na Binslum umewatoa kwenye njia. Na uongozi wa chama cha soka Tanga unapaswa ujitathimini kama bado wana wana uhalali wa kuendelea kuwa viongozi haiwezekani mkoa unapoteza timu zote tatu ligi kuu kwa msimu mmoja kisha bao mnajiita viongozi.
Mkuu mimi naishi kwenye jimbo la huyo waziri najibu tu swali lako la kama ni kweli anatabia za ulevi. Jibu ni NDIO alipoteuliwa alifanya ziara ya kushukuru wapiga kura akiwa na msafala mkubwa wa watendaji karibu wote wa wilaya lakini yeye alikua amelewa sana hata michango au maswali ya wananchi...
Kukubali masharti maana yake ni kukabidhi nchi kwa aliyeshinda kweli kitu ambacho watawala hawapo tayari kuona kinatokea.
Kila mchuma janga ula na wakwao tujipange tu kukabiliana na kitakachofuata hatuna cha kubadili muda huu.
Kuna kitu kinabidi kifanyike kupitia hawa askari ambao ushahidi wa kutosha upo kuonesha uvunjaji wa sheria na haki za binadamu kusikovumilika kwani wamefanya mtaani mbele za watu. Haki sio tu itendeke bali ionekane wazi ikitendeka kupitia hawa iwe funzo kwa askari wengine wanaodhani wapo juu ya...
Azam ni wepesi mno ila tatizo la Yanga ni kuridhika mapema, mechi nyingi wanatawala mchezo lakini wakipata goli moja tu kuongoza wanaanza kupoteza muda kwa kuamini wameshinda mpaka Azam wanasawazisha ndio wanashambulia tena wakati muda umeshaisha. Pia Msuva aambiwe ukweli tabia yake ya kutaka...
Wagombea ubunge mkoa wa Mara Nyangwine na Gaudencia Kabaka wamedaiwa kuanza faulo kwenye kura za maoni baada ya karatasi za kupigia kura zaidi ya elfu ishirini kukamatwa zikiwa zimeshapigwa tiki za kuwachagua. Wagombea wenzao wamegomea zoezi hivyo zoezi litafanyikaupya kesho.
SOURCE: ITV...
Mkuu sio kama tuna letu jambo au hatupendi polisi wafanye vizuri lakini wanapotoa maelezo yanayoacha mashaka mengi lazima tuhoji, kwa uzito wa lile tukio haliwezi kufanywa na watu wenye akili za kitoto eti wakachimbie chini pesa na kuweka alama ya kinyesi.
Ingeleta uhalisia kama tungewaona hao...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.