Diallo mlia njaa tu kanafiki ka siku zote.
maovu yake tumeweka ubavuni et leo anatumiwa na kambi ya mtu fulani kumchafua lowasa!
hiyo star tv na redio zake zimetokea wapi!
AFANYE BIASHARA, SIASA IMEMPITA NYUMA
DIALLO IS DEAD AND GONE
DEAD AND GONE...... kaibukia wapi tena?
hapa naona kuna kitu kinaendelea ndani ya chama chetu, kambi mbili zinatolea kashfa ili kuangusha wagombea watarajiwa.
Utumbo alioongea Dialo et Lowassa akazunguke uwanja wa taifa mara moja, mara atafia jukwaani, kama yalitoka...
Yan vijana wa siku hizi wana mawazo ya kipumbavu na fikra potofu. Mim nimesoma shule za bukoba mjini, kipind fulan mwanafunzi kafia shule Ihungo hapo hapo, siku mbili wanafunz kwenye maandamano na mgomo. Kila swala lilikuwa implemented kwa mgomo tu hata la kijinga.
Leo hii, kichwan mwa huyo...
Ila lazima hata mie niamnin kuna mkono wa wanandani katka matukio ya jana na leo.
Hawa majambawaz nani anawajulisha kuwa boss flan anachukua fedha sehem.?? maana hawajawah kuvamia UDA waibe smartphone za abiria, ni boss kuibiwa mamilion.
Pia jaman, polis tunawalaum bure, ilishatangazwa ukiwa...
Mnakaribishwa nyote hapa chuoni university of DAR ES SALAAM (MLIMANI) kushuhudia mashindano ya michezo mbalimbali kwa vyuo vya Afrika Mashariki.
Takriban vyuo 38 vitawashiriki na mashindano yataanza leo tar 08/02 hadi tar12/02/2013. Njooni tujenge UMOJA na MSHIKAMANO, tudumishe URAFIKI kati ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.