Search results

  1. MwanazuoniMJ

    UDSM accomodation

    Habari wana udsm wote wapya na wale wanaoendelea ..uzi huu ni maalum kwa ajili ya kuexhange room au kuuza room kwa wale wanaohitaji kwenda kukaa nje karibuni sana tujipange na 2017/18.....
  2. MwanazuoniMJ

    COICT first year 2016/17

    Habari zenu kwa wale ambao tumechaguliwa kwa fani ambzo zipo chini ya COICT UDSM, shule imeshaanza na ratiba ya vipindi inapatikana shuleni kijitonyama usiifuatae ratiba ambayo inauzwa stationery za main campus kwa sababu ni ya mwaka jana na masomo yamebadilika pia module codes zimebadilika.
  3. MwanazuoniMJ

    Wale tuliosoma Kibasila secondary.

    Hebu tujikumbushe kidogo enzi zile za nauli sh.hamsini,mchiki down na kadhalika.
  4. MwanazuoniMJ

    Linksoft comunications systems

    Kwa wale wanaoijua kampuni hiyo je ni nzuri kwa kufanyia field.msaada tafadhari.
  5. MwanazuoniMJ

    Pitia hapa tafadhali

    Hv kwa m2 aliyesoma dip in electronics and telecom eng. Anaweza kusoma telecommunication eng kwenye chuo kama udsm na kwa mda gan?
  6. MwanazuoniMJ

    Bsc. In telecommunication

    Kwa mtu aliyesoma dip. In electronics and telecommunication anaweza kusoma telecommunication UDSM.kama ndio ni kwa mda gan?.msaada nwa anayejua tafadhal. Thanks in advance!
  7. MwanazuoniMJ

    ATC Graduation ceremony

    Wale wadau wote wa arusha tech. College where skills make the difference kesho wapendwa wenzetu wanakwenda kugraduate. All the bect our beloved csters and brother.
  8. MwanazuoniMJ

    Njia nyingine kwa wanaomaliza form 4

    Kwa miaka ming imezoeleka m2 kusoma o level kwa miaka minne halaf a level kwa miaka 2,lakn kwa dunia yetu ya sasa ambayo inahtaj wa2 wenye ujuz kulko maneno meng ni vema kujiunga na technical college kwa kufanya hvyo utakuwa umeokoa miaka 2 ya kuendelea kusoma theories ambazo in real sence...
  9. MwanazuoniMJ

    Tetesi za Matokeo ya NECTA kidato cha nne 2012 [Kabla Hayajatoka]

    Habari wana JF, kwa tetesi nilizopata matokeo yatakuwa displayed tar 08/02. ============ MATOKEO RASMI YANAPATIKANA HAPA -> NECTA yatangaza Matokeo ya Kidato cha Nne 2012
  10. MwanazuoniMJ

    kipi kitamu zaidi

    Wadau nisaidieni,eti utamu wa kukata gogo na kutoa uchafu ckioni kipi noma.
  11. MwanazuoniMJ

    Kipi ni bora kwenda a-level au college?

    Option ipi ni rahc na marketable kati ya kwenda a level au kwenda college?,waungwana nisaidieni.
Back
Top Bottom