SoC04 Threads

  • Suggestion Suggestion
Wananchi wa kata ya Kiru wilaya ya Babati mkoani Manyara wameiomba serikali kukarabati zahanati ya Kiru six inayotegemewa na vijiji sita vya kata hiyo na vijiji jirani, ili iweze kutoa huduma bora...
0 Reactions
0 Replies
384 Views
Upvote 1
  • Suggestion Suggestion
Kama nchi tumekuwa na taratibu nyingi sana ambazo zinafanyika nje na taratibu hasa na mhimili mkuu wa serikali lakini mihimili mingine(bunge na mahakama) havina meno ya kuikosoa na kuielekeza...
1 Reactions
0 Replies
337 Views
Upvote 3
  • Suggestion Suggestion
Je, Tanzania inahakikisha vipi maendeleo yanaenda sambamba na uhifadhi wa mazingira kwa ajili ya kizazi cha sasa na baadaye? Kuhusu swala la Tanzania na maendeleo na uhifadhi mazingira ili liwe...
1 Reactions
0 Replies
277 Views
Upvote 3
  • Suggestion Suggestion
Elimu ni kurithisha au kuhamisha maarifa, ujuzi, taarifa au taaluma kutoka kizazi kimoja kwenda kingine. Malengo ya elimu katika nchi yetu ya Tanzania kuanzia 2025 adi 2050 yawe ni i. Kurithisha...
1 Reactions
0 Replies
361 Views
Upvote 3
  • Suggestion Suggestion
Leo ningependa kuzungumzia suala la uongozi, siasa, na utumishi wa umma kwa ujumla. Kuna mambo kadha wa kadha ninayaona katika nchi yangu, na mimi kama kijana nimepata mawazo ya kuyawasilisha...
4 Reactions
12 Replies
623 Views
Upvote 13
  • Suggestion Suggestion
Barabara kama njia kuu ya usafiri Tanzania ina jumla ya kilomita 181602.2 za mtandao wa barabara, chini ya mgawanyo wa Kilomita 37225.5 barabara za kitaifa (barabara kuu na za kimkoa) na kilomita...
0 Reactions
4 Replies
579 Views
Upvote 1
  • Suggestion Suggestion
UTANGULIZI Tanzania imeendelea kukumbwa na changamoto ya ukatili kwa makundi mbalimbali, watoto wakiwa ni miongoni mwa kundi hili. Kundi hili limekua likikumbwa na adha za ukatili wa jinsi, ndoa...
0 Reactions
6 Replies
554 Views
Upvote 2
  • Suggestion Suggestion
Utangulizi Wazo kuu ni kuboresha mchakato wa ununuzi wa umeme ili kuruhusu kuwaka moja kwa moja (automatic) mara baada ya units za umeme kununuliwa na mtumiaji, mfumo huu (HeWasha) unalenga...
1 Reactions
7 Replies
1K Views
Upvote 9
  • Suggestion Suggestion
Idadi ya wazee Tanzania Kwa mujibu wa sensa ya 2022 Tanzania ina jumla ya wazee 7,469,714 chini ya mgawanyo wa wazee 7,294,654 Tanzania bara na 175,060 Tanzania Zanzibar,( Ripoti ya Mgawanyo wa...
1 Reactions
8 Replies
633 Views
Upvote 4
  • Suggestion Suggestion
Ukatili wa kijinsia kwa watoto ni kitendo chochote anachoweza kufanyiwa mtoto na kikasababishia madhara ya kimwili, kisaikolojia na kiafya. Ukatili wa kijinsia kwa watoto unaweza kusababisha...
0 Reactions
1 Replies
339 Views
Upvote 2
  • Suggestion Suggestion
TANZANIA TUITAKAYO: MAONO YA KIBUNIFU KWA MIAKA 5, 10, 15 HADI 25 IJAYO Utangulizi Tanzania, taifa lenye rasilimali nyingi na watu wenye ari ya maendeleo, linahitaji kuwa na maono ya kibunifu na...
0 Reactions
1 Replies
504 Views
Upvote 3
  • Suggestion Suggestion
The governmental educational policies of Tanzania need to be revised to accommodate meritorious students from poorer communities and provide them with an equal platform for competing against...
0 Reactions
0 Replies
289 Views
Upvote 2
  • Suggestion Suggestion
Katika kuangalia usawa na udhibiti kwa ndugu zetu wanaoendesha vyombo vya moto vya pikipiki maarufu bodaboda nimeona tatizo halipo kwa madereva tu bali hata kwa abiria wao, mfano unakuta abiria...
1 Reactions
0 Replies
350 Views
Upvote 3
  • Suggestion Suggestion
Tuanze kuwaza sasa kama nchi kubadilisha sheria zinazo simamia haya mashirika ya umma ili kuongeza ufanisi. Mashirika mengi ya umma yanalalimikiwa kwamba hayana ufanisi, yanajiendesha kwa hara...
2 Reactions
4 Replies
564 Views
Upvote 4
  • Suggestion Suggestion
Utalii ni Neno Pana na lenye manufaa makubwa kwenye uchumi wa taifa letu la Tanzania. Uchumi wa nchi yetu ya Tanzania unategemea rasilimali mbalimbali ikiwemo rasilimali inayohusisha vivutio vya...
1 Reactions
0 Replies
333 Views
Upvote 6
  • Suggestion Suggestion
Tufe njaa kwa kulinda misitu? mkulima na kiongozi katika hili Nani asikilizwe? Katika maisha ya sasa na siasa mwanasiasa anasimamia Sera za nchi mkulima anavunja Sera za nchi kumlisha mtunga...
0 Reactions
0 Replies
313 Views
Upvote 4
  • Suggestion Suggestion
Ikumbukwe kuwa kabla ya ujio wa wakoloni katika bara la Afrika sisi tulikuwa wamoja kwa kushirikiana katika kila kitu kilicho husiana na Ubuntu wetu kwa kutokuwekeana mipaka katika bara letu. Kwa...
0 Reactions
0 Replies
368 Views
Upvote 4
  • Suggestion Suggestion
Mazungumzo na mwanangu: Jioni moja kwenye mazungumzo na mwanangu nikamtajia wazo langu kuwa, ingekuwa vema angeingia kwenye siasa, kwa vile nafikiri hapo baadae angeweza kupata nafasi ya uongozi...
0 Reactions
0 Replies
227 Views
Upvote 4
  • Suggestion Suggestion
Mfumo wa soko la ndani wa mazao na bidhaa za kilimo (na uvuvi) kwa kiasi kikubwa unaendeleza dhulma na unyonyaji kwa wazalishaji mali hizo. Ijapokuwa zipo jitihada za serikali zenye kukusudia...
0 Reactions
0 Replies
265 Views
Upvote 4
  • Suggestion Suggestion
Tanzania tuitakayo Ofisi ya CAG ipewe mamlaka kamili Kama chombo kinachojitegemea na kujitosheleza Kama ilivyo TAKUKURU. Yaani wawe na mamlaka ya kumfikisha mahakamani na kumfungulia mashitaka...
0 Reactions
0 Replies
263 Views
Upvote 4
Back
Top Bottom