Tigershark
JF-Expert Member
- Oct 9, 2018
- 7,051
- 12,573
Ni dhahiri sasa kwa yanayotokea ndugu zangu wa Lumumba ukisoma michango yao na hoja zao ni kama wamepagawa!
EU na US wamepigilia msumari uliowafanya waanze "kunena kwa lugha"!
Kuna mdau amesema hii ni zawadi ya x mas na mwaka mpya kwa waliokubwa na dhoruba kwa unyanyasaji wa awamu hii!
EU na US wamepigilia msumari uliowafanya waanze "kunena kwa lugha"!
Kuna mdau amesema hii ni zawadi ya x mas na mwaka mpya kwa waliokubwa na dhoruba kwa unyanyasaji wa awamu hii!