Bunge lamjibu Mbowe, ladai pesa wametuma hospitalini tarehe 20 Sept sababu hawakuwa na akaunti ya hospitali

Bunge lamjibu Mbowe, ladai pesa wametuma hospitalini tarehe 20 Sept sababu hawakuwa na akaunti ya hospitali

Wamezuia upigaji, mi nashauri hiyo michango ilipwe na Watanzania kwenye akaunti moja kwa moja.
 
Looo hii aibu sasa serikali yetu inajiabisha sana
Kwa nini hawakuwaambia wanaoguza? Hiyo kitu haiwezekani mbinu yao imekwama yale yale ya kagera na arusha yaelekea bwana mkubwa alimpigia simu jamaa wazipeleke kwenye barabara.
Tangu Lissu apigwe risasi sio Bunge wala serikali hawakwenda kumjulia hali.
Hata mdau wetu Hamisi l
kimya!!
Ummi ni zeze??
 
Unadhani kuna jambo lisilo na utaratibu? Na kama pesa nilikuwa haijatumwa kwa nini mbowe hakumuuliza Spika kwanza kabla ya kuongea na vyombo vya Habari?

Amelisemea sababu wengi wa UVCCM wakitaka kujua.Sasa wamejua mpaka Jana pesa zilikuwa hazijafika hospitali,pamoja na kwamba alimpa na invoice ya hospitali.
 
Tulitaka wapewe watu mikononi?
Tumia brain mkuu.

Hakuna pesa iliyolipwa, kama ingekua imelipwa basi wauguzaji lazima wangepewa taarifa kwa sababu wauguzaji ndo wanaojua gharama zinazotakiwa.

Huwezi kuwalipa hospitali bila wasaidizi wa mgonjwa kujua wala familia ya mgonjwa haijui.
We huoni huo ni upuuzi, kama umelipa hospitali kwanini usitoe taarifa ya kulipa ili pesa isilipwe mara mbili?

CCM sina hakika kama ni binadamu, hasa Ndugai sijui kama anajua iko siku atakufa
 
Kama wanaakili kwann hawakumpa hata huyo mke wa Lisu? Ccm kwa uongo?au mnaweweseka kwa matendo yenu.
 
Serikali inahusikaje na hilo? Hiyo ni michango ya Bunge na waliotuma ni Bunge. Nini kinaihusu serikali?

Inajadiliwa michango na namna serikali ilivyojiwekea tabia mbaya ya kukimbia nayo ukirejea kagera na arusha katabia kanataka kuwa sugu.
 
KWANI VYOMBO VYETU VYA DORA VIMESHINDWA HADI TUTAFUTE WATU KUTOKA NJE?, NA KAMA HATUAMINI WALIOWAKWETU JE WALE NDIO TUTAWAAMINI, KUDAI WACHUNGUZI KUTOKA NJE NI KUDHALILISHA TAIFA LETU, PONGEZI KWA SELIKALI KWA MSIMAMO.
Kama ni wakweli waleteni hao wauwaji??
Waliomtolea bunduki Nape mchana hawakamatwi!!
Hawaaminiki!!
 
Yaani CCM na bunge lao watu wa ajabu kabisa ina maana CDM wasingefanya press na wao wasingetoa hiyo taarifa?ndo pesa ya dharula inavyokuwa au washazoea kula rambirambi walitaka kuzipitia na hizo?
Ifikie mahala waone aibu na hiyo pesa wametuma baada ya kusikia press
 
1) Walikuwa wapi siku zote kutuma hizo hela?

2) Mbowe yuko sahihi, unapotuma muamala nje ya nchi moja kwenda nyingine zile fedha hazisomi/haziingii kwenye akaunti iliyolipwa siku hiyo hiyo. Hivyo taarifa ya Mbowe ambayo ni ya tarehe 20/09/2017 kutoka Nairobi Hospital haikuonyesha kupokea fedha hizo (not captured).

3) Ni aibu kwa jinsi Mhimili wa Bunge unavyojidhalilisha kwenye hili suala la Lissu. Hivi wanadhani ripoti za Nairobi Hospital zinaandaliwa na CHADEMA? Je hawajui wanazidi kuumbuka?

4) Spika na Bunge wanathibitisha mashaka na tuhuma za Mbowe na Watanzania wengi juu ya wahusika wanaotiliwa shaka.

Hawa ndo wauaji walioshindwa kwa kuwa bwana mungu yuko upande wa waana wa mungu na huwachukia wanafiki kama wale wapitao makanisani na kuyanajisi kwa kuomba waombewe, hivi shetani anaombewa na malaika kweli, hivi huyu ni binadamu au ni msukule toka gambush, nani kawaloga watanzania kugawa kura kwa misukule, sasa mjitambue mumuombe mungu achukue roho yake mapema
 
Acha umbulula hizo ni pesa zinatakiwa kujirizisha Kama zinafika kwa mlengwa sio maandazi kuna matapeli siku hizi
Tatizo usiwe unakariri tu eti kujiridhisha nini hapo wiki mbili umekaa na pesa za mgonjwa kuzituma hapo Nairobi ambapo hata kwa basi zingeshafika?huoni uharaka wa jambo lenyewe na pesa siyo za chama wala serikali ni za wabunge wote.....ifikie pahala tuache saida kwenye maisha ya watu
 
Tundu lisu kapelekwa Nairobi tarehe 8 au 9 akiwa katika hali mbaya kiafya halafu fedha zinatumwa tarehe 20, Kweli jamani huu ni ubinadamu?????????


Inasikitisha saaaaaana binadamu kufanyiwa huu unyama.
 
Back
Top Bottom