Kufa c mwiko
JF-Expert Member
- May 26, 2013
- 756
- 322
sasa kabla ya kwenda kumshambulia siku ile uliomba ushauri kwa familia yake?
Ukiwalaumu wanasiasa hao katika swala hili unajitia upofu tu, wa kutokuona mchango wao wa kumuuguza ndugu yao!!Salaam wana bodi,
Tangu Mheshimiwa Tundu Lissu adhuriwe huko Dodoma na hatimaye kupelekwa Mjini Nairobi-Kenya, kumekuwepo na mijadala, mivutano na malumbano mengi sana juu ya namna suala hili linavyoshughulikiwa.
Kwa siku za hivi karibuni CHADEMA imekuwa ikiongeza kasi ya kuhamasisha watanzania kuchangia matibabu ya Mheshimiwa Lissu huko Nairobi. Sababu ambazo zimekuwa zikitolewa ni kuwa gharama za matibabu ni kubwa kwani kwa siku ni takribani Milioni 10 za kitanzania. Mchungaji Msigwa wakati akihojiwa na kituo cha televisheni cha Azam alisema kuwa jumla ya Shilingi Milioni 150 zimekwishatumika na bado fedha nyingi zinahitajika.
Kwa hakika matibabu ya Mheshimiwa Lissu yataendelea kutafuna fedha nyingi na kwa kutegemea kupitisha bakuli la michango kila siku kwa watanzania haitawezekana. Sasa kwakuwa Serikali kupitia Waziri wa Afya Ummy Mwalimu imetoa tamko lake kuwa inayo nia ya dhati kabisa kugharamia matibabu ya Mheshimiwa Lissu, basi ni vema Serikali ikaachwa igharamie matibabu hayo na familia yake ichukue jukumu la kuwa msemaji na "role" ya wanasiasa wenzake wa CHADEMA walioko huko Nairobi ipungue kwa wao kuacha kutoa matamko ambayo bado hayamsaidii mgonjwa zaidi ya kumuweka katika "position" ya kutokuwa na uhakika wa matibabu yake kutokana na makusanyo ya fedha za matibabu kuwa "unpredictable".
Ni wakati sasa familia ndio iwe msemaji wa matibabu ya Lissu na familia ndio iwe na maamuzi na sio hawa wanasiasa ambao kwao ni kuona suala la Lissu linatumiwa kukipa umaarufu chama chao.
Mkuu Twahil, naunga mkono hoja. Chadema played it's party, lakini maadam serikali imekubali kuingiza mkono wake, then, sasa familia iachiwe. Wao Chadema waendelee na kumhudumia kiulinzi na kiusalama lakini taarifa za maendeleo yake zitolewe na mtu wa familia yake.Salaam wana bodi,
Tangu Mheshimiwa Tundu Lissu adhuriwe huko Dodoma na hatimaye kupelekwa Mjini Nairobi-Kenya, kumekuwepo na mijadala, mivutano na malumbano mengi sana juu ya namna suala hili linavyoshughulikiwa.
Kwa siku za hivi karibuni CHADEMA imekuwa ikiongeza kasi ya kuhamasisha watanzania kuchangia matibabu ya Mheshimiwa Lissu huko Nairobi. Sababu ambazo zimekuwa zikitolewa ni kuwa gharama za matibabu ni kubwa kwani kwa siku ni takribani Milioni 10 za kitanzania. Mchungaji Msigwa wakati akihojiwa na kituo cha televisheni cha Azam alisema kuwa jumla ya Shilingi Milioni 150 zimekwishatumika na bado fedha nyingi zinahitajika.
Kwa hakika matibabu ya Mheshimiwa Lissu yataendelea kutafuna fedha nyingi na kwa kutegemea kupitisha bakuli la michango kila siku kwa watanzania haitawezekana. Sasa kwakuwa Serikali kupitia Waziri wa Afya Ummy Mwalimu imetoa tamko lake kuwa inayo nia ya dhati kabisa kugharamia matibabu ya Mheshimiwa Lissu, basi ni vema Serikali ikaachwa igharamie matibabu hayo na familia yake ichukue jukumu la kuwa msemaji na "role" ya wanasiasa wenzake wa CHADEMA walioko huko Nairobi ipungue kwa wao kuacha kutoa matamko ambayo bado hayamsaidii mgonjwa zaidi ya kumuweka katika "position" ya kutokuwa na uhakika wa matibabu yake kutokana na makusanyo ya fedha za matibabu kuwa "unpredictable".
Ni wakati sasa familia ndio iwe msemaji wa matibabu ya Lissu na familia ndio iwe na maamuzi na sio hawa wanasiasa ambao kwao ni kuona suala la Lissu linatumiwa kukipa umaarufu chama chao.
Nyie jukumu lenu ni kuwakamata wale waliomdhuru kazi ya kulipia matibabu tuachieni acheni usanii au mlimdhuru ili mje mlipie ubani au matibabu Mungu yupo upande wetu mtanyooka tuuSalaam wana bodi,
Tangu Mheshimiwa Tundu Lissu adhuriwe huko Dodoma na hatimaye kupelekwa Mjini Nairobi-Kenya, kumekuwepo na mijadala, mivutano na malumbano mengi sana juu ya namna suala hili linavyoshughulikiwa.
Kwa siku za hivi karibuni CHADEMA imekuwa ikiongeza kasi ya kuhamasisha watanzania kuchangia matibabu ya Mheshimiwa Lissu huko Nairobi. Sababu ambazo zimekuwa zikitolewa ni kuwa gharama za matibabu ni kubwa kwani kwa siku ni takribani Milioni 10 za kitanzania. Mchungaji Msigwa wakati akihojiwa na kituo cha televisheni cha Azam alisema kuwa jumla ya Shilingi Milioni 150 zimekwishatumika na bado fedha nyingi zinahitajika.
Kwa hakika matibabu ya Mheshimiwa Lissu yataendelea kutafuna fedha nyingi na kwa kutegemea kupitisha bakuli la michango kila siku kwa watanzania haitawezekana. Sasa kwakuwa Serikali kupitia Waziri wa Afya Ummy Mwalimu imetoa tamko lake kuwa inayo nia ya dhati kabisa kugharamia matibabu ya Mheshimiwa Lissu, basi ni vema Serikali ikaachwa igharamie matibabu hayo na familia yake ichukue jukumu la kuwa msemaji na "role" ya wanasiasa wenzake wa CHADEMA walioko huko Nairobi ipungue kwa wao kuacha kutoa matamko ambayo bado hayamsaidii mgonjwa zaidi ya kumuweka katika "position" ya kutokuwa na uhakika wa matibabu yake kutokana na makusanyo ya fedha za matibabu kuwa "unpredictable".
Ni wakati sasa familia ndio iwe msemaji wa matibabu ya Lissu na familia ndio iwe na maamuzi na sio hawa wanasiasa ambao kwao ni kuona suala la Lissu linatumiwa kukipa umaarufu chama chao.
kwa mtazamo mpana hata chadems ni sehemu ya familia ya lissu. muda wote lissu amekuwa akiisaidia chadema na watanzanis wengine. sioni ubaya wa chadema kutoa taarifa ya maendeleo ya mwanachama na kiongozi wake lissu. huu ni uungwana.Mkuu Twahil, naunga mkono hoja. Chadema played it's party, lakini maadam serikali imekubali kuingiza mkono wake, then, sasa familia iachiwe. Wao Chadema waendelee na kumhudumia kiulinzi na kiusalama lakini taarifa za maendeleo yake zitolewe na familia
Kisiasa unamlinganisha Lissu na Mrema hizo pesa zenu kajengeni ukuta mererani tanzanite inaibiwa.lyatonga Mrema alikamatwa sana lakini hivi majuzi tulimsikia akimshukuru Rais kwa kumuhudumia kimatibabu
Kumbe lengo la serikali sio kumsaidia bali kutibua mipango ya CHADEMA basi ni ujinga mnaofanya na msaada wenu hauna nia njema.Serikali imewastukia na kuona itibue mipango yao ovu...
Watu wasiojulikanaSalaam wana bodi,
Tangu Mheshimiwa Tundu Lissu adhuriwe huko Dodoma na hatimaye kupelekwa Mjini Nairobi-Kenya, kumekuwepo na mijadala, mivutano na malumbano mengi sana juu ya namna suala hili linavyoshughulikiwa.
Kwa siku za hivi karibuni CHADEMA imekuwa ikiongeza kasi ya kuhamasisha watanzania kuchangia matibabu ya Mheshimiwa Lissu huko Nairobi. Sababu ambazo zimekuwa zikitolewa ni kuwa gharama za matibabu ni kubwa kwani kwa siku ni takribani Milioni 10 za kitanzania. Mchungaji Msigwa wakati akihojiwa na kituo cha televisheni cha Azam alisema kuwa jumla ya Shilingi Milioni 150 zimekwishatumika na bado fedha nyingi zinahitajika.
Kwa hakika matibabu ya Mheshimiwa Lissu yataendelea kutafuna fedha nyingi na kwa kutegemea kupitisha bakuli la michango kila siku kwa watanzania haitawezekana. Sasa kwakuwa Serikali kupitia Waziri wa Afya Ummy Mwalimu imetoa tamko lake kuwa inayo nia ya dhati kabisa kugharamia matibabu ya Mheshimiwa Lissu, basi ni vema Serikali ikaachwa igharamie matibabu hayo na familia yake ichukue jukumu la kuwa msemaji na "role" ya wanasiasa wenzake wa CHADEMA walioko huko Nairobi ipungue kwa wao kuacha kutoa matamko ambayo bado hayamsaidii mgonjwa zaidi ya kumuweka katika "position" ya kutokuwa na uhakika wa matibabu yake kutokana na makusanyo ya fedha za matibabu kuwa "unpredictable".
Ni wakati sasa familia ndio iwe msemaji wa matibabu ya Lissu na familia ndio iwe na maamuzi na sio hawa wanasiasa ambao kwao ni kuona suala la Lissu linatumiwa kukipa umaarufu chama chao.
Ungejiuliza kwanini cdm hawataki dereva wa lisu ahojiwe na polisi.Sasa kama haijahusika, mbona haijasema nani mmiliki wa Gari alilolitaja Lissu, kama haijahusika mbona hakuna updates zozote za kiitelijensia zaidi ya kukamata wakimbizi uchwara eti kwa taarifa za kiitelijensia pamoja na kumkamata Zitto Airport kwa mbwembwe. Acheni unafiki, muwe na aibu.
Kwanini zisiwe ni sababu za kisheria kwani pia ni mwanasheria?Kuna suala la usalama pia.
Lissu haumwi ugonjwa wa kawaida.Lilikuwa ni jaribio la kuondoa maisha yake kwa sababu za kisiasa.
Wanasiasa wenzake bado wana mchango mkubwa sana.
Huo uwezekano upo pia maana Lissu alikuwa anatumia sababu za kisheria kuikosoa Serikali mfano katika hilo suala la kukamatwa bombadier yetu.Kwanini zisiwe ni sababu za kisheria kwani pia ni mwanasheria?
Kwani ujuzi wake wa kisheria alikuwa akiutumia kuikosoa tuu serekali?Huo uwezekano upo pia maana Lissu alikuwa anatumia sababu za kisheria kuikosoa Serikali mfano katika hilo suala la kukamatwa bombadier yetu.
Serikali imegundua hawa jamaa hawapo kwa ajili ya lisu..wapo kwa ajili ya chama..wanaitumia hii fursa..bahati mbaya familia ya lisu imetulia tu..ila mwisho wa siku wao ndio watakaolia..
Na ndio maana serikali inataka tamko la familia ili kumuondoa lisu kwenye mikono ya wanasiasa.. Na katika hili tayari wanasiasa wameibuka na matamko yao..
Kiukweli lisu kama atapona matibabu yake yatachukua hata miezi sita ku recover..chadema pesa wanayo..ila hawakuandaa kutumia pesa yao kwenye masuala kama haya..angekufa kwao ingekuwa rahisi sana..isingefika hata mil 10..ila hili la kumuuguza lisu na kutumia mamilion kwa siku limekuwa pigo kubwa sana kwao..kumbuka hakuna posho za safari za nje kama zamani..hakuna posho za ushiriki wa vikao kwenye mashirika ya uma..mianya ya ukwepaji kodi imebanwa..kila mtu anaitolea macho pesa ya ruzuku..ni shida
Ndo mnavyotishiana kila kukicha, hivi jinsi serikali ilivyokula ganzi katika suala hili wakati ushahidi upo wazi, gari lililotumika, namba zake, watu waliokuwa wanamfatilia TL aliwataja tena kwenye Press na clips zipo YouTube, hakuna hatua ilochukuliwa hata kutuambia mmiliki wa gari.Je ukiombwa kuisaidia polisi kutoa USHAHIDI namna Serikali ilivyohusika na kushambuliwa kwa mh. lissu utasemaje?
Tangu lini Serikali iliyokuwa ikimkamata hovyo hovyo ikamtakia mema, acheni unafiki wa kidananda.
Sizonje Kalimwa barua ya Onyo Kali toka Uingereza, ndio mnajitekenya tekenya.
Wananchi tutachanga, tutakopa na ikibidi kuuza mali zetu Lissu apone.
Kama mnania kweli, Serikali ichange kama tunavyochanga sisi. After all hata hizo pesa za Serikali ni zetu sisi walipakodi.
Sisi tumeamua kumchangia Lissu, nyinyi kajengeni Ukuta Mererani kwa kodi zetu.