..kichwa cha habari hapo juu kinahusika.
..Serikali kupitia kwa Mh.Ummy Mwalimu, waziri wa afya, imetangaza kuwa italipia gharama za matibabu ya TL.
..Je, kwanini sasa Mh.Mwigulu, waziri wa mambo ya ndani,.asiruhusu wananchi kuiunga mkono serikali kupitia sala za madhehebu mbalimbali kumuombea mpendwa wetu TL apone haraka?
..Na kwa muktadha huo, je si itakuwa vema zaidi kama Serikali, na Jeshi la Polisi, wakaruhusiwa kuvaa t-shirt, kanga, kofia, za " Pray for TL" ili wananchi waonyeshe kuiunga mkono serikali?
..Serikali kupitia kwa Mh.Ummy Mwalimu, waziri wa afya, imetangaza kuwa italipia gharama za matibabu ya TL.
..Je, kwanini sasa Mh.Mwigulu, waziri wa mambo ya ndani,.asiruhusu wananchi kuiunga mkono serikali kupitia sala za madhehebu mbalimbali kumuombea mpendwa wetu TL apone haraka?
..Na kwa muktadha huo, je si itakuwa vema zaidi kama Serikali, na Jeshi la Polisi, wakaruhusiwa kuvaa t-shirt, kanga, kofia, za " Pray for TL" ili wananchi waonyeshe kuiunga mkono serikali?