Mgawanyo wa majukumu: Serikali watafuteni wasiojulikana, matibabu ya Lissu tuachieni sisi wananchi

Mgawanyo wa majukumu: Serikali watafuteni wasiojulikana, matibabu ya Lissu tuachieni sisi wananchi

Ni lazima ilaumiwe maana hatua hii ilitakiwa ichukuliwe tangu awali...au wanajikosha...
Ofcourse walijivuta... ila sioni haja ya kuendelea kuleta siasa, kama wanaweza saidia wasaidie mgonjwa apone haraka iwezekanavyo
 
Wapuuzi wa kubwa, pale Dodoma Hospital wakati wanamstabilize ili angalau aweze kusafirishwa mbona hamkusema aachwe asitibiwe maana wanaomtibu ni madaktari wa hospital ya serikali na hamna imani nayo. Yale yale ya kuomba ulinzi kutoka kwa viongozi wa Kenya halafu mwisho wa siku utarudi kuishi Tanzania, huo ulinzi ulio omba huko Kenya utaambatana nao hapa bongo???!!! Maajabu makubwa haya.

Mchina wa jF.
Na washawasha!
 
Lakini ilipokaa kimya ililaumiwa

Hakuna mtu aliyeilaumu bali walipewa ukweli wao kuhusu shambulizi la kutaka kutoa uhai wa Lissu. Na hata sasa wanapewa ukweli wao kwani kwenye hili wameonyesha unafiki wa hali ya juu. Wakitaka watoe hela bila masharti hawataki wasepe nazo kwani tunajua sio zao bali ni za kwetu walipa kodi. Kwani mpaka sasa bado yuko hai ni kwa hela yao? Mkitoa zitamtibia na msipotoa mnapewa kubwa yenu. Katafuteni zenu ndio mletee mapozi na sio kodi za wanaume.
 
Back
Top Bottom