Eric Cartman
JF-Expert Member
- May 21, 2009
- 11,960
- 11,221
Okay,
inaonyesha kuwa huna na hujawahi kuleta data za Q2 2016.
Kwenye Uzi ule ni Mimi peke yangu ndiye niliyeweka excel data za NBS (in .PDF). Kwa hiyo nilijua kabisa huna na hujawahi kuona GDP data za Q2.
Kwa hiyo, ukisema uchumi umedorora/shrink/decline kwa kutumia hali unayoiona mitaani sitabisha kwa sababu Mimi sipo mitaani huko.
Ila ukisema based on data za NBS au bot, sitakubali kwa sababu maandishi yapo na data zipo na analysis mbalimbali zipo na zinaonyesha kuwa uchumi wa Tanzania unakua na upo stable.
Predictions/forecasts za GDP siyo kitu kipya na jinsi statistics na actuarial science inavyodevelop, siyo jambo LA kushangaa.
Kwa miaka kumi iliyopita IMF/WB hawakuwahi kufanya makosa +/- 10% actually +/- 5% ukiondoa 2013.
Tumia hali ya mitaani kwa sababu ukitumia data, I promise you that the likelihood of people like me - albeit needing to grow up - answering your puny comments is almost 100%.
Alamsiki.
OK since march they havent released quarterly summaries nevertheless there are monthly reports kwa wale wenye kutaka summations zao wenyewe za quarterly; the data is there.
Going by July which is the last month of indicators released: http://www.bot.go.tz/Publications/MonthlyEconomicReviews/MER JULY 2016.pdf
From there utaona pattern ya fall on consumption, imports, prices and lower lending activities huo uchumi bado kweli utafikia annual targets growth. Nani alijua kutakua na slow down in lenging, falling prices etc. Mambo yote hayo yana implications zake na zote zinapoint uchumi unaopungua kasi.
Kama ulichangia kwenye ile thread ina maana ata link ulizopewa ukuzipitia usikariri elewa sasa hizo nazo ni data za mtaani tatizo hapo hii nchi imejengwa kwa nidhamu ya uoga hata kwenye taaluma nchi nyingine based on the evidence of those economic indicators wangemwambia mh. raisi it is not working, hizo data ni lazima wao kuziweka public kwa wakopaji wao na si wajinga upike data they can do their own audits vinginevyo ingekuwa their own free will ata wasinge publish; as for me kesho tena alamsiki.