Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Niwakaribishe wale wenye kuweza kusoma hukumu na kuelezea inasemaje Kwa mnaonijua, mimi nitakuwa na kitu changu cha Jammaika nikifuatilia michango yenu. Karibuni sana. Mnapotuona msituchukulie...
3 Reactions
24 Replies
254 Views
Mimi nilikutana na huu mto nikavutiwa na mazingira yake nikaamua kupiga picha.Huu unaitwa mto nzovwe.Sio lazima yawe mazingira tu bali kitu chochote ambacho kilikufanya uwe interested...
13 Reactions
82 Replies
8K Views
Simba bob junior alivyovamiwa na Simba wenzake kumpoka utawala wa nyika habari ilivuma sana hapa nchini na wadau wakasikitishwa na kifo chake mno. Nadhani hali itakuwa tofauti sana kwa faru...
8 Reactions
56 Replies
2K Views
Ndo hivyo wakuu Hali sio Hali nimeamua nipige yowee mwenye maskio na asikie, maana jiwe limepigwa gizani na Mimi ndo nilikuwa nimejificha humo na jiwe ndo limenipata😓 Mimi ni kijana wa makamo tu...
3 Reactions
9 Replies
90 Views
Katika miaka ya hivi karibuni, Tanzania imekuwa ikishuhudia mijadala mikali kuhusu matumizi ya mitandao ya kijamii, hasa Twitter, ambayo imekuwa ikichukuliwa kama mtandao wenye nguvu katika...
17 Reactions
178 Replies
5K Views
The Weekend - Out of Time
19 Reactions
4K Replies
78K Views
YouTube blogger amekuwa anawauliza raia wa Nigeria swali,kwamba kama inatokea fursa ya kupewa Uraia wa kudumu wa Tanzania au Kenya,watapenda kuishi Nchi gani? Jibu la wengi ni kwamba Watachagua...
4 Reactions
247 Replies
3K Views
Yaani hata kama ni Siasa hii sasa komesha. Tinubu (70) ni mdogo kuliko Rais Mstaafu Jakaya Kikwete(72)? NB: Chinekeeeee
10 Reactions
56 Replies
3K Views
Alianza kama anatania vile mara... "... oooh kunywa pombe sio dhambi.." kumbe mzee wa upako alikuwa anagida bapa huku anaombea na kupaka mafuta ya 'upako' wagonjwa na wenye shida mbalimbali...
24 Reactions
133 Replies
4K Views
Siku za karibuni, tutasikia Makamu wa Rais wa Malawi atazikwa. Ukizingatia mkoa wa Ruvuma umepakana na nchi ya Malawi,ninashauri Mkuu wa huo mkoa amwakilishe Rais kwenye maxishi hayo ili...
9 Reactions
43 Replies
587 Views

FORUM STATS

Threads
1,862,745
Posts
49,865,208
Back
Top Bottom