Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Yalionikuta Sina hamu na nyie wanaume, Long story short, mwanaume wangu huwa kwenye simu yake Ana namba nyingi kasave majina ya kiume, and I have been wondering and being suspicious kuhusu hilo...
8 Reactions
42 Replies
998 Views
Guys nilifanya hivi.... Nilitituma 50,000 kwa mama. Then nikatuma 50,000 kwa Girlfriend. Majibu yalikuwa hivi MAMA: Asante sana baba ubarikiwe sana GF: Hii hela hata haioshi maana nina mambo...
0 Reactions
0 Replies
1 Views
Wanaukumbi. 🚨 HAMAS ILITUMA MAJIBU KUHUSU PENDEKEZO LA KUSITISHA MAPIGANO KWA WAPATANISHI PAMOJA NA MABADILIKO. Haniyeh na Nakhaleh walikabidhi majibu ya pendekezo la "israeli" la kusitisha...
2 Reactions
88 Replies
927 Views
Ndugu zangu Watanzania, Leo imekuwa siku ya moto sana na ngumu sana kwa wanasiasa uchwara wa Nchi hii. Leo Rais wetu mpendwa ameshusha NONDO za hatari sana zilizowakosha watanzania na kuibua...
11 Reactions
127 Replies
3K Views
Hapa nyumbani nina kadi ya mchango wa harusi wa sh 20,000 nimegoma kutoa sababu naona ni matumizi mabaya ya hela. Hivi vijeba vinne vimejipigapiga vimefanikiwa kutoa hiki kiasi kidogo walichojaliwa.
3 Reactions
19 Replies
156 Views
YouTube blogger amekuwa anawauliza raia wa Nigeria swali,kwamba kama inatokea fursa ya kupewa Uraia wa kudumu wa Tanzania au Kenya,watapenda kuishi Nchi gani? Jibu la wengi ni kwamba Watachagua...
2 Reactions
119 Replies
2K Views
Hizi gari watu wamezishobokea kindezi. Lilikua ni suala la muda tu kuanza kutelekezwa kwenye gereji zetu uswazi.
9 Reactions
128 Replies
11K Views
Wazee, mwenye lonja ya lini wajuba wanatoa majina/kupiga simu ya watakaoitwa kwenye usaili awajuze wadau, watu alili zao hazitaki kufanya kazi nyingine zaidi ya kuwaza Depo tu. NB: Depo ya...
9 Reactions
458 Replies
41K Views
Karibia asilimia 85 ya wanawake huwa hawawezi kufika kileleni wakati wa tendo la ndoa. Kumfikisha mwanamke kileleni ni art ambayo ni wanaume wachache sana wanayo. Wengi wa wanawake hata kama...
11 Reactions
134 Replies
3K Views
unampenda, unamuamini, unamkubali, unamjali na kumthamini n.k kiufupi mnapendana sana na mko pamoja kitambo sasa.... ila kuna jambo moja tu linakukera, linakufedhahesha sana, linakusononesha...
0 Reactions
2 Replies
3 Views

FORUM STATS

Threads
1,862,480
Posts
49,858,613
Back
Top Bottom