Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Katika siku za karibuni Bima ya Afya ya Taifa imekuwa gumzo kila kona, hasa inapodaiwa kwamba mfuko huu wa bima unaotoa matibabu kwa watumishi wa umma na familia zao, unakaribia kukata roho...
4 Reactions
62 Replies
4K Views
Unaanzaje kwa mfano? Kuna kijana wa Chuo anagegeda "mtawa" na hili nimejihakikishia mwenyewe, sasa najiuliza vijana hamuogopi? Hamuoni kama mnawapa dhambi? Ni kweli masister wa sasahivi ni...
16 Reactions
199 Replies
41K Views
Mimi ni Mkristu dhehebu la RC na nililelewa kwenye familia yenye kufuata mafundisho ya RC na nimebatizwa,kupata komunyo ya kwanza hadi kipaimara na kufunga ndoa ya kikatoliki. Lililonileta ni...
5 Reactions
17 Replies
115 Views
Kulingana na baadhi ya Wakenya kutaka hii battle. Sasa ni muda mwafaka wa kuonesha kipi Nairobi kipo hakipo Dar es salaam na kipo Dar es salaam hakipo Nairobi. Ninaomba tuangalie katika positive...
124 Reactions
523K Replies
30M Views
Zaidi ya watu 700,000 hufa kwa kujiua kila mwaka, ambayo ni mtu mmoja kila sekunde 40. Kujiua ni jambo la kimataifa na hutokea katika hatua zote za maisha. Uingiliaji kati wenye ufanisi na msingi...
0 Reactions
2 Replies
42 Views
Habarini jamani, Kuna binti niliwahi kuwa katika mahusiano nae miaka ya nyuma kipindi tupo secondary lakini mahusiano yetu yalivunjika mara baada ya sote kujiunga na chuo Kwa sasa ni mke wa mtu...
1 Reactions
22 Replies
309 Views
Tunaanzia katika jamii za Wachaldeans na Wamisri ambao waliamini kuwa hapo kabla Mungu aliumba MWANGA (ikiwakilisha dunia ya malaika). Nje ya ule mwanga wakaumbwa daraja la viumbe wasioonekana...
1 Reactions
14 Replies
2K Views
Wapalestine watakwisha hivihivi tunajionea Juzi kati walitaka kupata taifa la kuwasaidia, lakini mara tu ya kutaka kuanza mpango huo, nchi hiyo ikajikuta inapoteza Rais na waziri wa mambo ya nje...
3 Reactions
16 Replies
298 Views
MAMBO HAYA USIMWAMBIE MWANAUE WAKO, HATA KWA KISU SHINGONI:- Idadi ya wanaume uliojamiiana nao kabla ya kuoana na mume wako: Hupaswi kumfahamisha mpenzi wako wa kiume au mume wako ni wanaume...
0 Reactions
9 Replies
119 Views
Sio kila mwanamke anayekuomba pesa pindi mko kwenye mahusiano kwamba hafai kuwa mke, Baadhi yao wanapitia magumu mengi mno yanayohitaji msaada wa fedha zaidi kuliko faraja, na kwakuwa anakuamini...
4 Reactions
29 Replies
324 Views

FORUM STATS

Threads
1,861,922
Posts
49,845,658
Back
Top Bottom