Mwanga Lutila
JF-Expert Member
- Nov 10, 2016
- 3,958
- 12,931
Unaanzaje kwa mfano?
Kuna kijana wa Chuo anagegeda "mtawa" na hili nimejihakikishia mwenyewe, sasa najiuliza vijana hamuogopi?
Hamuoni kama mnawapa dhambi?
Ni kweli masister wa sasahivi ni wadogo halafu ni "pisi kali" hasa hapo RuCu, labda mnaingia vishawishi vya kuwatongoza huko kwenye discussion za magroup.
Ila jaribuni kujizuia.
Kuna kijana wa Chuo anagegeda "mtawa" na hili nimejihakikishia mwenyewe, sasa najiuliza vijana hamuogopi?
Hamuoni kama mnawapa dhambi?
Ni kweli masister wa sasahivi ni wadogo halafu ni "pisi kali" hasa hapo RuCu, labda mnaingia vishawishi vya kuwatongoza huko kwenye discussion za magroup.
Ila jaribuni kujizuia.