Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

wakuu nina degree ya Accounting and Finance nipo Arusha jinsia ni mwanaume kukaa home kunachosha kama kuna mtu ana sehemu anataka hata mtu wa kumbebea mafile Arusha mimi nipo
1 Reactions
5 Replies
24 Views
Hali sio hali nchi hususani kwenye uchumi wa nchi na mauzo na manunuzi. Ghalama ya bidhaa iko juu sana, vyakula na bidhaa nyingine iko juu kupindukia. Ukienda kila kona ya nchi hali ni mbaya...
0 Reactions
1 Replies
11 Views
  • Sticky
Full name: Manchester United Football Club Nickname(s): The Red Devils Founded: 1878 as Newton Heath LYR F.C | 1902 as Manchester United F.C. League: Premier League Website: ManUtd.com...
169 Reactions
201K Replies
11M Views
Vigogo wa Klabu ya simba wameweka jina la Florent Ibenge kama mrithi sahihi wa kocha aliye ondoka ndani ya timu Yao Abdelhak Benchika. Ibenge mshindi wa CAF Confederation Cup na mwana fainali ya...
1 Reactions
13 Replies
434 Views
MAJI YAONGEZEKA ZIWA VICTORIA: BAADHI YA KAYA KISIWANI RUKUBA ZAHIFADHIWA KWENYE KITUO CHA AFYA Mvua zinaendelea kunyesha, na maji Ziwa Victoria yanaendelea kuongezeka. Siku ya leo siyo nzuri...
0 Reactions
2 Replies
47 Views
Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) tunakaribisha maoni mbalimbali na hata mawazo tofauti kati ya wanachama na viongozi wetu. Kama chama cha kidemokrasi, Chadema tunaona suala la...
2 Reactions
16 Replies
213 Views
Uzuri wa huu mchezo unafanyika hadharani kila mtu anaona, nani kifaa nani garasa. Aziz Ki ni mbovu, hana thanani ya milioni 400. Kifupi Yanga wameingia hasara ya milioni 400, yale ni manunuzi ya...
28 Reactions
1K Replies
72K Views
Kwa miaka mitatu ya bajeti kuanzia 2021 hadi 2024 pamekuwepo na tatizo la kupanda kwa gharama za mafuta ya Nishati (Petroli, Diseli na mafuta ya taa). Vile vile, robo ya pili ya mwaka fedha...
0 Reactions
2 Replies
119 Views
Pafukapo moshi ujue kuna moto, Za chini ya kapeti Makamu Mwenyekiti wa Chadema yupo, kwenye harakati za chini kwa chini kutaka kumpindua mwenyekiti na kukiongoza chama kama mwenyekiti. Kikao...
8 Reactions
89 Replies
3K Views
Mdada wa kitanzania anaejulikana kwa jina la shufaa kitwana tembo amefariki siku ya jana nchini Uturuki wakati anafanyiwa operesheni ya kuongeza makalio na kupunguza tumbo. Bwana ametoa na bwana...
7 Reactions
196 Replies
4K Views

FORUM STATS

Threads
1,851,117
Posts
49,565,081
Members
667,801
Latest member
ZouhAlly
Back
Top Bottom