Nimechoka kuhangaika na masharobaro kwani ni kero tu
1. Hawajui kujali
2. Hawajui mapenzi
3. wanapenda kutunzwa
Nataka mume wa mtu mwenye uwezo wake na pia anaependa familia yake na kuijali...
Ni aibu sana serikali kukubali kuwekwa mfukoni mwa Tapeli. Wananchi wanatapelliwa Kwa matapeli kutumia jina la Waziri Mkuu, Kwa Jina la Rais wa Zanzibar na Kwa jina la Rais Samiah. Lakini hakuna...
Habarini wadau wote wa JF mimi kijana wa 25-26 nataka mwana dada 18-24 wa kuoa mwenye elimu yeyote awe na biashara au kazi yeyote mjanja wa towm hapa dar es salaam
mimi form 4...
Hello dears, baada ya kutengana na mwenzangu upweke umenishinda kwakweli nimeona nitafute mtu wa kuwa nae karibu na kushare Mambo ya ndani.
Mimi;
Ni mwanamke wa miaka 38
Brown skin tone
Mkristo...
Kama kuna eneo moja ambalo wazee wetu wa zamani walipotoka ni hii dhana ya kumrithisha mtoto tunguli kwa nguvu na bila ridhaa yake.
Wenzetu waliwarithisha watoto wao elimu ujuzi na maarifa vyenye...
Naomba uongozi wa chuo cha Mwalimu Nyerere Memorial Academy muanze kumtazama lecturer Anayeitwa Majura anayefundisha masomo ya kiswahili.
Lecturer huyu hana maadili ya ualimu ni mbabe ...
HISTORIA YA KABURI LA ABUSHIRI BIN SALIM
Abushiri bin Salim alikamatwa sehemu za Handeni baada ya kusalitiwa akiwa anafanya mipango ya kutorekea Mombasa akiwakimbia Wajerumani.
Vita vyake vya...
MANGUNGU [emoji119]: KWA MASLAHI MAPANA YA KLABU YETU,NITATOA PESA ZA USAJILI.
Pesa za usajili Nitatoa mwenyewe Kwa kushirikiana na Wanachama na wapenzi wa Simba, Sasa nipo kutafuta mkurugenzi wa...
Huyu mbunge wa Nzega na waziri wa zamani wa Maliasii kwa wiki nzima sasa amekuwa akiendesha harakati zake mtandaoni na kwenye redio akidai Simba inaendeshwa ndivyo sivyo na "tajiri" au sijui...
Katika miaka ya hivi karibuni, Tanzania imekuwa ikishuhudia mijadala mikali kuhusu matumizi ya mitandao ya kijamii, hasa Twitter, ambayo imekuwa ikichukuliwa kama mtandao wenye nguvu katika...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.