Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Nimechoka kuhangaika na masharobaro kwani ni kero tu 1. Hawajui kujali 2. Hawajui mapenzi 3. wanapenda kutunzwa Nataka mume wa mtu mwenye uwezo wake na pia anaependa familia yake na kuijali...
7 Reactions
117 Replies
11K Views
Ni aibu sana serikali kukubali kuwekwa mfukoni mwa Tapeli. Wananchi wanatapelliwa Kwa matapeli kutumia jina la Waziri Mkuu, Kwa Jina la Rais wa Zanzibar na Kwa jina la Rais Samiah. Lakini hakuna...
3 Reactions
7 Replies
114 Views
Habarini wadau wote wa JF mimi kijana wa 25-26 nataka mwana dada 18-24 wa kuoa mwenye elimu yeyote awe na biashara au kazi yeyote mjanja wa towm hapa dar es salaam mimi form 4...
0 Reactions
1 Replies
919 Views
Hello dears, baada ya kutengana na mwenzangu upweke umenishinda kwakweli nimeona nitafute mtu wa kuwa nae karibu na kushare Mambo ya ndani. Mimi; Ni mwanamke wa miaka 38 Brown skin tone Mkristo...
33 Reactions
228 Replies
7K Views
Kama kuna eneo moja ambalo wazee wetu wa zamani walipotoka ni hii dhana ya kumrithisha mtoto tunguli kwa nguvu na bila ridhaa yake. Wenzetu waliwarithisha watoto wao elimu ujuzi na maarifa vyenye...
5 Reactions
43 Replies
12K Views
Naomba uongozi wa chuo cha Mwalimu Nyerere Memorial Academy muanze kumtazama lecturer Anayeitwa Majura anayefundisha masomo ya kiswahili. Lecturer huyu hana maadili ya ualimu ni mbabe ...
5 Reactions
42 Replies
2K Views
HISTORIA YA KABURI LA ABUSHIRI BIN SALIM Abushiri bin Salim alikamatwa sehemu za Handeni baada ya kusalitiwa akiwa anafanya mipango ya kutorekea Mombasa akiwakimbia Wajerumani. Vita vyake vya...
3 Reactions
5 Replies
119 Views
MANGUNGU [emoji119]: KWA MASLAHI MAPANA YA KLABU YETU,NITATOA PESA ZA USAJILI. Pesa za usajili Nitatoa mwenyewe Kwa kushirikiana na Wanachama na wapenzi wa Simba, Sasa nipo kutafuta mkurugenzi wa...
6 Reactions
48 Replies
1K Views
Huyu mbunge wa Nzega na waziri wa zamani wa Maliasii kwa wiki nzima sasa amekuwa akiendesha harakati zake mtandaoni na kwenye redio akidai Simba inaendeshwa ndivyo sivyo na "tajiri" au sijui...
2 Reactions
9 Replies
158 Views
Katika miaka ya hivi karibuni, Tanzania imekuwa ikishuhudia mijadala mikali kuhusu matumizi ya mitandao ya kijamii, hasa Twitter, ambayo imekuwa ikichukuliwa kama mtandao wenye nguvu katika...
14 Reactions
149 Replies
4K Views

FORUM STATS

Threads
1,862,647
Posts
49,862,685
Back
Top Bottom