Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Kwanza kilimo hiki kinakubali sehemu kubwa nchini. Pia kina faida kubwa kwa ekari kulinganisha na bhangi na muhimu kuliko vyote Katika taasisi ya kupambana na dawa za kulevya nchini hamna sehemu...
1 Reactions
16 Replies
337 Views
Kwa mujibu wa taarifa inaelezwa kuwa,nahodha wa timu ya taifa ya Tanzania Mbwana Ally Samatta ameliandikia barua shirikisho la soka nchini (TFF)ya kustaafu kuitumikia timu ya taifa ya Tanzania...
0 Reactions
7 Replies
211 Views
...tunaendelea Ingekuwa hoja kama tusingemsema Magufuli kwa mfano, kuna mtu alimsema Magufuli kama mie? Kuna mtu alimsema Kikwete kama sisi? Mpaka Mkapa, mie kesi yangu ya kwanza ni ya Mkapa...
27 Reactions
85 Replies
3K Views
Kumbe Wapambe aka CHAWA ndio wamewatisha wabunge kwamba 2025 Uchaguzi utakuwa mgumu sana kwahiyo maandalizi ya Kampeni yaanze sasa Wabunge wamejawa hofu na sasa wanamwaga tu Posho zao za mjengoni...
0 Reactions
0 Replies
1 Views
Mkopo tunaofurahia kuupata kutoka Korea kusini hautoki Korea bali Marekani kupitia Korea Kusini. Mkopo huu kwa wakati huu kwa nchi hizi ni maandalizi ya kutulazimisha tuwe upande wa Marekani...
15 Reactions
35 Replies
1K Views
Maandalizi ya kampeni za mwakani yameisha kamilika upande wa Mama na kilichobakia ni kipenga kipulizwe tu. Inadaiwa Pikipiki zaidi ya 18,000 ni zawadi kutoka UAE na pia kuna Helcopta moja na...
5 Reactions
43 Replies
1K Views
Karibuni kwenye mada. Nawiwa kuilinganisha na kushindanisha mji wa Kahama na Njombe au Mafinga. Je, ni mji gani mzuri na una future kubwa kifursa kuliko mwenzie in terms of maendeleo na ukuaji...
33 Reactions
19K Replies
757K Views
Mjukuu wa baba wa taifa la Zanzibar Fatma Karume amesema si haki kumshambulia Zuhura Yunus kwa Sababu ya kubadilishiwa kituo Cha Kazi Karume amesema Zuhura ni rafiki yake na anakerwa sana na...
13 Reactions
75 Replies
5K Views
Habari wakuu, Husika na kichwa cha habari, Niende moja kwa moja kwa mada, visasi baina ya wanandoa chanzo cha mauaji ya wanandoa. Kumekuwa na visa mbalimbali baina ya wanandoa kutoana uhai na...
10 Reactions
17 Replies
630 Views
Habari za wakati wakuu, Panda gari popote ulipo za kwenda Mbagala rangi tatu ukifika nenda mpaka round about ya Chamazi kunja kushoto tembea kidogo utaona shule ya msingi mbele kidogo utaona...
42 Reactions
93 Replies
10K Views

FORUM STATS

Threads
1,861,764
Posts
49,840,789
Back
Top Bottom