Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Nakumbuka Hata wakati wa UKAWA ni hawa hawa akina Mrema ndio walimfanyia figisu Julius Mtatiro wa CUF kwa sababu ya njaa zao Sasa kama Chadema kwenye Uchaguzi wa Ndani wanahongana makreti ya Bia...
0 Reactions
5 Replies
106 Views
Mbowe , Lisu and all concerned, take care of this. Msigwa na Sugu wanaonekana kujenga "uadui" nawatahadhalisha mbegu hii itaenea pote at the advantage of CCM. Malumbano yao hayana "UPENDO" ila...
3 Reactions
29 Replies
352 Views
Hello 👋 Kupitia ukurasa wa Instagram wa Rommy3D amethibitisha kuachana rasmi na Shilole baada ya video na picha zinazoendelea kusambaa mitandaoni zikimwonyesha Shilole akiwa na dogodogo mwingine...
13 Reactions
113 Replies
3K Views
Macho yanavutia sana. Kupitia macho waweza kuchungulia roho ya mtu, baadhi ya vigezo vinavyofanya macho kuwa yenye mvuto ni; kuwa na umbo la Uduara wenye uwiano, kuchomoza nje ya sura, na kuchukua...
5 Reactions
84 Replies
3K Views
Lemme start by saying mapenzi shikamooo......After that, am looking for a broken girl just to gimme a company. I want someone to chat with, someone I can explain what happened to...
1 Reactions
10 Replies
95 Views
Wanaukumbi. Watanzania ambao wamejitolea michango yao na kuhamua kununua vyakula na madawa na misaada mingine kwa watu wa Palestina kama unavyoona hiyo picha wakiwa ndani ya Gaza bila kuogopa...
22 Reactions
93 Replies
3K Views
Huu uzi uwe wa kuwaumbua kwa ushahidi usio na mashaka wale wote wanaomtupia mawe Paul Makonda aliyejipambanua kama mtetezi wa wananchi wanyonge na pia kumpa maua yake, hivyo Kama umewahi...
1 Reactions
9 Replies
108 Views
Namuona tu anavyojishaua, mjini hapa wazuri wengi, yani mtu amesoma hapa hapa mjini af ye bado anajiona keki. Wapo wazuri wanauza bar na wapo wazuri wanajiuza. Ipo siku nitampatia huu ujumbe...
5 Reactions
21 Replies
379 Views
Mkuu wa kitengo cha ujasusi wa Israel, Mosad ametishia mwendesha mshataka wa ICC asipoachana na mashtaka ya genocide mauaji ya alaiki dhidi ya Israel, personal security yake na wanafamilia yake...
5 Reactions
28 Replies
887 Views
Wiki hii zimetoka nafasi kwa wanafunzi waliomaliza kidato cha sita kujiunga na mafunzo ya JKT. Moja ya kitendo kinachokosa utu na kinachokiuka utamaduni wetu ni kuwavisha watoto wetu wa kike...
19 Reactions
228 Replies
6K Views

FORUM STATS

Threads
1,858,085
Posts
49,737,815
Back
Top Bottom