Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Wanaume wengi na vijana wengi wa humu hawana pesa ndefu wala michongo ya kueleweka kama wanawake ndo maana wanaume wa humu wamejaa makasiriko. Kila uzi wanawake, mara singo mom jamani tafuteni...
32 Reactions
289 Replies
3K Views
  • Sticky
Welcome to the Real Madrid C.F. Jamii Forums thread. Keep up to date with the latest news & engage with the club and other supporters. The club formed in 1902. Stadium: Santiago Bernabéu...
39 Reactions
51K Replies
2M Views
Imethibitishwa kuwa raisi wa Iran alikuwa ndani ya helicopter hiyo iliyopata ajali. Vikosi vya uokoaji vimeshindwa kutambua na kufika neo husika ilipotokea ajali hiyo kwa sababu ya hali mbaya ya...
24 Reactions
859 Replies
23K Views
Kuna wakati tunahitaji ku realise stress. Kuna wakati tunahitaji kufanya jambo jipya. Kuna wakati tunahitaji kuona kitu kipya. Kuna wakati HATUHITAJI kusoma post zenye kutafakarisha. Kuna wakati...
112 Reactions
383K Replies
11M Views
Wanabodi Kama kawaida yangu kila nipatapo fursa, huja na kwa Maslahi ya Taifa, kila Jumatano kwenye gazeti la Mwananchi na Jumapili kwenye gazeti la Nipashe na kwenye kipindi cha KMT on Channel...
6 Reactions
77 Replies
1K Views
Msimamo wa kula kwa urefu wa kamba imepata maana mpya na mbaya. Serikali ikiwa na vyombo vyote vya ulinzi na usalama katika kila mkoa, itaibiwaje kibwege hivi? Yes, serikali inaibiwa kibwege na...
11 Reactions
44 Replies
1K Views
Ninataka kuanza shughuli ya ufasishaji wa mafuta ya alizeti na mengineyo sasa ninahitaji bleaching Earth ambayo itahitajika katika mchakato wa usafishaji wa mafuta.Kwa kutumia mashine kama hii...
2 Reactions
1 Replies
37 Views
Upotoshaji wa taarifa kwenye soka hufanyika zaidi wakati wa msimu wa usajili. Kipindi hiki ambacho mashabiki wa soka hufuatilia kujua Wachezaji wanakuja na kuondoka kwenye timu zao, wapotoshaji...
0 Reactions
2 Replies
10 Views
Habari zenu wana JF. Mimi ni ME Ninayeishi Daslam iliyochangamka. Natafuta binti wa kazi ndugu zanguni Binti awe na umri kati ya miaka 17 na 22. Awe mwaminifu, msikivu na mwenye moyo wa huruma...
1 Reactions
10 Replies
87 Views
Leo nipo safarini kuelekea Dar es salaam kupitia route ya Msata-Bagamoyo. Nimepita hotel ya kitalii ya KIROMO VIEW RESORT ambayo ilizinduliwa na Kikwete mwaka 2009. Hivi sasa yamebaki maghofu...
30 Reactions
128 Replies
9K Views

FORUM STATS

Threads
1,855,315
Posts
49,658,323
Back
Top Bottom