Wanaume wengi na vijana wengi wa humu hawana pesa ndefu wala michongo ya kueleweka kama wanawake ndo maana wanaume wa humu wamejaa makasiriko.
Kila uzi wanawake, mara singo mom jamani tafuteni...
Katibu mkuu wa wazazi ndg Ally Hapi yupo katika mgogoro mkubwa na viongozi wa jumuiya hiyo- Tarifa zilizopo ktk mwezi mmoja amekwapua hela nyingi kwa mambo binafsi; mbabe na haheshimu viongozi...
Wadau mimi ni mdau wa elimu kama mjumbe wa kamati mojawapo ya shule. Ni takribani kuanzia Januari 2024 fedha za Capitation mashuleni haziingizwi kwa wakati. Mfano fedha ya Machi na Aprili 2024...
Habari Tanzania,
Kama barua iliyoandikwa na Katibu wa Halmashauri Kuu ya CCM, Itikadi, Mafunzo & Uenezi Cde Amos Gabriel Makalla inavyojieleza.
Tuendelee kuiombea CCM kwani ni hakika bila CCM...
Hellow habari 🤗
natafuta boyfriend atakae kua mume baadae
Sifa zangu
1. Mwanamke 25 years
2. Cristian
3. Height 161cm
4.63 kg
5. Rangi caramel
6. kazi;najishughulisha hapa na pale
MUNGU WA WAYAHUDI "YEHOVA" hawezi HATAMBUI MWANAMKE KAMA MCHUNGAJI, NABII AU MTUME. WANAWAKE WANAOJIITA WACHUNGAJI au MANABII WANA mungu MWINGINE
Anaandika, Robert Heriel
Mtibeli
YEHOVA kama...
Mnyukano wa kimjadala uko ukurasani X ambapo Mjumbe wa CC ya ACT Wazalendo mh Zitto Kabwe amesema wao hawana Wivu na Tundu Lisu kununuliwa Gari mpya na Wananchi
Ni hilo tu
Ahsanteni 😂😂😂😂
DK.MWINYI AONGOZA KIKAO CHA KAMATI KUU YA CCM, ZANZIBAR
Makamu Mwenyekiti wa CCM Zanzibar, Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Ali Mwinyi ameongoza kikao Maalum cha...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.