Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Hii ndio Habari mpya inayozunguka mitandaoni kwa sasa, kwamba yule Nesi Mwamba aliyehakikisha Lissu anaendelea kupumua amekutana na Tundu Lissu Jijini Dodoma. Pamoja na mengi yaliyozungumzwa kati...
36 Reactions
222 Replies
5K Views
Wakati nipo Ocean Road nikiwa TZ , nimefanya kazi na products mbalimbali kutoka vyuo tofauti, wapo wanafunzi kama intern wakiwa madaktari ambao we were training them, wengine wafamasia au nurses...
4 Reactions
60 Replies
418 Views
Shalom, Huu sijui niite ni dharau, maringo, ubaharia au ujinga wa kitoto. Ubaharia wa kidwanzi ndio huu kuna siku nikichukua namba ya demu mmoja hapa jijini Dodoma, nikambeep Fair kabisa. Kesho...
7 Reactions
16 Replies
259 Views
Ushawahi kusikia kauli kama hii kutoka kwa mwanamke? Ukweli ni kwamba ambae anakua tayari kwa kuoa ni mwanaume ambae ataenda kubeba jukumu la kutoa security katika familia, kwa maana iyo mwanaume...
20 Reactions
78 Replies
932 Views
Wakati Makonda anakiwasha sana kule Arusha kwa mkurugenzi wa jiji la Arusha kule Tabora mkurugenzi wa Sikonge nae hali ngumu sana baada ya hospital ya halmashauri kuonekana kama ilijengwa chini ya...
0 Reactions
1 Replies
17 Views
Mchezo wa kwanza wa Fainali ya Ligi ya Mabingwa Afrika unapigwa leo katika dimba la Olympique Hammadi Agrebi baina ya wenyeji Esperance dhidi ya mabingwa watetezi Al Ahly. Mchezo huo unatarajiwa...
7 Reactions
161 Replies
1K Views
Hii ni miongoni mwa hadithi moja tamu sana. Ni ndani ya kijitabu kidogo chenye mvuto wa aina yake. Kilichochapwa 2007. APUL AENDA NAIROBI I Ilikuwa ikimuelezea kijana mmoja ambaye...
0 Reactions
0 Replies
1 Views
Habarini wadau. Baada ya kuweka uzi wa maoni yangu juu ya kamera ya simu ya Iphone 13 Pro maarufu kama macho matatu, Wadau wengi ambao hawatumii Iphone wala Samsung waliona kama wametengwa...
8 Reactions
537 Replies
36K Views
Hii imemtokea rafiki yangu mmoja alianzisha mahusiano na kijana mmoja baada ya kama miezi miwili kupita huyo kijana akaanza kuwa anamuomba huyo dada pesa na kumueleza shida zake mbalimbali ili...
1 Reactions
7 Replies
46 Views
Kulingana na baadhi ya Wakenya kutaka hii battle. Sasa ni muda mwafaka wa kuonesha kipi Nairobi kipo hakipo Dar es salaam na kipo Dar es salaam hakipo Nairobi. Ninaomba tuangalie katika positive...
123 Reactions
517K Replies
30M Views

FORUM STATS

Threads
1,854,977
Posts
49,647,561
Back
Top Bottom