Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Hello farmers, Nimesikia pale Kiluvya kuna kituo cha maziwa, ningependa anayepafahamu ashee ni maeneo gani na mmiliki ni nani. Nataka kuanza kufuga kwa ajili ya maziwa kwa hiyo nataman...
0 Reactions
2 Replies
78 Views
Wekeni uzi huu kwenye kumbukumbu zenu, mrithi wa hulka za marehemu amekalia kuti kavu. Aliyemteua hajaitazama mara mbili clip ya udhalilishaji aliofanyiwa yule mtumishi wa kike wa Longido...
9 Reactions
89 Replies
3K Views
Magufuli alifanya hili zoezi la vyeti feki kwa Tanzania lakini alikuwa selective. Magufuli hakugusa TPDF, Bunge na Wakuu wa mikoa. Hata Polisi na TISS nao hawakuguswa. Halafu alidhulumu mafao...
1 Reactions
58 Replies
837 Views
Wakuu si kwa ubaya! Mi natamani kujua hili swala,, Dini au iman fulan zimekua zikipokezana tangu dunia kuanza huja na kupotea. Dini hupotea kwa sababu ya kuja dini nyingine yenye nguvu au itikad...
3 Reactions
61 Replies
1K Views
Zimekuwapo tabia mbovu mbovu za wakaazi wa Dar kuwaita wakaazi wa sehemu tofauti na Dar eti wanatoka Mikoani. Arusha huwezi kuifananisha na Mikoa kama Njombe,Pwani,Mtwara au Songea. Arusha ni...
0 Reactions
27 Replies
192 Views
Nyumbani kwangu kuna paka alijileta akapazoea wife akaniambia muache apambane na panya, binafsi siwapendi kabisa paka nimekulia uswahilini nawajuwa ni antena za wachawi. Huyu paka hana mpango...
6 Reactions
36 Replies
447 Views
  • Suggestion
UTANGULIZI: (TAARIFA YA TCRA).12 Mei 2024, mnamo majira ya saa tano asubuhi, kulikuwa na tatizo la upatikanaji wa huduma ya intanenti nchini. Taarifa za awali zimeonesha kuwa tatizo hilo...
0 Reactions
3 Replies
57 Views
Israel imekasirika mpaka imeita mabalozi wao kutoka nchi hizo, kwasababu kutambua nchi ya Palestine ni kama kusema Isreal ni mvamizi rasmi na anapaswa kuondoka. Tena kibaya zaidi Rais wa Norway...
19 Reactions
169 Replies
3K Views
Akiwa kwenye ziara yake Longido, Makonda kama kawaida yake akiwa anatatua kero za wananchi, kamati hii ilihojiwa sababu ya ujenzi wa shule kusuasua. Wakati mwanakamati huyo anajieleza Makonda...
18 Reactions
138 Replies
4K Views
Kama unataka kuwa Freelancer nafasi zipo za kutosha,jinsi ya kuomba fata maelezo bila kukosea. 1.Bonyeza Hapa 2.Kisha bonyeza Hapa jisajili. 3.Kuhakiki usajili wako bonyeza hapa 3.Baada kujaza...
1 Reactions
17 Replies
280 Views

FORUM STATS

Threads
1,856,862
Posts
49,701,159
Back
Top Bottom