Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Naitwa Bichwa Komwe. Mimi ni mtoto pekee katika familia ya Kitajiri. Baba yangu alikuwa muajiriwa katika kampuni ya wazungu, na alifanikiwa kuchuma fedha na mali nyingi. Mama yangu ni msomi na...
5 Reactions
24 Replies
54 Views
Mimi nikijana niliehitimu mafunzo yaufundi mekaniks mwaka jana. Mwaka huu nwezi wapili nikapata kazi nashukuru imenipa uzoefu mzuri sana kwenye masuala yaufundi Lakini sasahivi ofisi...
3 Reactions
6 Replies
773 Views
Rais samia kwanini pamoja na ziara zote huko hapewi kipaumbele kama Ruto? Ukiangalia jinsi Ruto alivyopokelewa kwa heshima marekani utashangaa Ruto kapokelewa kwa heshima sana, vyombo vyote vya...
20 Reactions
169 Replies
3K Views
Ndugu zangu awali ya yote ni washukuru Wana jamiiforums wote ambao mliguswa na changamoto yangu iliyo nikuta ambayo ilipelekea kuandika Uzi uliotafsiliwa kama nimekata tamaa😭😭😭 Nahisi siku zangu...
20 Reactions
103 Replies
2K Views
Jeshi la Africa kusini linategemea kufunga virago msumbiji ambako vikosi vya SADC vikiongozwa na South Africa vilikua vikipambana na Kundi la kigaidi la kiislam Msumbiji. Hii ni kutokana na siasa...
10 Reactions
72 Replies
2K Views
  • Suggestion
Embracing innovative ICT opportunities in Tanzania has the potential to transform the economic landscape over the next 5 to 25 years. By integrating technologies such as remote work platforms...
0 Reactions
1 Replies
10 Views
Kulingana na baadhi ya Wakenya kutaka hii battle. Sasa ni muda mwafaka wa kuonesha kipi Nairobi kipo hakipo Dar es salaam na kipo Dar es salaam hakipo Nairobi. Ninaomba tuangalie katika positive...
124 Reactions
519K Replies
30M Views
unakuta mtu ilikuwa umezoea kitonga unakula batamjini unapewa lakitano naushee za birthday navitu vingine ghafla yule anaekupa hivyo vitu anatekwa nawanaokuonea wivu unaamua kuvunja mahusiano...
3 Reactions
35 Replies
2K Views
Ni mume wangu tuna watoto Huyu baba kazidi umaraya jaman mpaka nakaa nae kirafiki namuuliza tatizo nini? Kama haridhiki na mimi nimemruhusu aoe mke mwingine ampangashie mbali na mimi kwangu aje...
15 Reactions
76 Replies
1K Views
Habari wanajukwaa Kama mnavyoiona swali Katika kichwa hicho Cha habari. Hili ni swala serious sana na watu hulikemea na kutafuta suluhisho bila kujua tatizo Kila siku tunaskia mara dadapoa...
8 Reactions
112 Replies
2K Views

FORUM STATS

Threads
1,856,806
Posts
49,699,908
Back
Top Bottom