Bi dentamol
JF-Expert Member
- Feb 1, 2014
- 988
- 1,935
Ni mume wangu tuna watoto
Huyu baba kazidi umalaya jaman mpaka nakaa nae kirafiki namuuliza tatizo nini?
Kama haridhiki na mimi nimemruhusu aoe mke mwingine ampangashie mbali na mimi kwangu aje weekend tu kuangalia watoto hataki ananyamaza kimya. Yan ukishika cm yake unaweza zimia ana wanawake karibia 5 mara aombe picha za dudu... Ukizubaa marafiki zangu anapita nao, mabinti wa kazi, yani tabu tupu.
Nilichoamua sitaki tena sex na yeye, tutatiana nikiwa natafuta mimba tu nikipata sitaki aniguse tena ninawatoto 2 bàdo 1 tu...akichoka aondoke akaoe uko angalau nipate Aman, sina rafiki, naogopa hata ndugu kukaaa kwangu, sitaki mazoea na majiran maana wakinizoea tu anawalamba...aisee kichwa kinajam
Huyu baba kazidi umalaya jaman mpaka nakaa nae kirafiki namuuliza tatizo nini?
Kama haridhiki na mimi nimemruhusu aoe mke mwingine ampangashie mbali na mimi kwangu aje weekend tu kuangalia watoto hataki ananyamaza kimya. Yan ukishika cm yake unaweza zimia ana wanawake karibia 5 mara aombe picha za dudu... Ukizubaa marafiki zangu anapita nao, mabinti wa kazi, yani tabu tupu.
Nilichoamua sitaki tena sex na yeye, tutatiana nikiwa natafuta mimba tu nikipata sitaki aniguse tena ninawatoto 2 bàdo 1 tu...akichoka aondoke akaoe uko angalau nipate Aman, sina rafiki, naogopa hata ndugu kukaaa kwangu, sitaki mazoea na majiran maana wakinizoea tu anawalamba...aisee kichwa kinajam