Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Mara nyingi tunajiona tuko salama, tunafikiri mabadiliko, kanuni, sheria za kigandamizi zinazofanywa na watawala hazituhusu sisi hasa hawa watumishi wa uma; watu wa magereza, wanajeshi, maaskari...
18 Reactions
116 Replies
3K Views
Watanzania wengi ni matomaso, ukiwasimulia tu hivi hivi, hawaamini. Nashauri gari ya Tundu Lissu isibadilishwe muonekano wake baada ya kupigwa risasi, matundu ya risasi yabaki, gari itengenezwe...
8 Reactions
90 Replies
803 Views
Ndugu zangu Watanzania, Nikitizama na kufuatilia namna vyama vya upinzani vinavyoendeshwa ,vinavyofanya maamuzi yake,mfumo wa uongozi na namna ya kupokezana madaraka, uvumilivu na demokrasia...
9 Reactions
94 Replies
867 Views
Nimegoogle ni ipi njia rahic ya binadamu kujiua no exact results, ukienda hospital kumuuliza daktar anakwambia ipo nje na maaadili ya kaz hata ukimuahid hela akwambii nimepost apa jamiiforum...
0 Reactions
5 Replies
8 Views
Baada ya Hotuba hii kuwekwa hadharani, ndio mtajua maana halisi ya Unafiki wa viongozi wa Tanzania, Yaani mtu kashambuliwa halafu kaandaliwa na hotuba ya mazishi yake, hili jambo hata shetani...
6 Reactions
29 Replies
202 Views
Hapo jana Misri imetoa tamko kuwa kuanzia sasa haitotoa ushirikiano tena na Israel katika kupitisha misaada mpaka wa Rafah. Nongwa hiyo ya Misri ni kwa vile ati Israel imejichukulia jukumu la...
3 Reactions
23 Replies
943 Views
UFAFANUZI KUHUSU MALIPO YA FEDHA ZA KUJIKIMU KWA ROBO YA NNE Ijumaa, Mei 17, 2024 Tunapenda kuwafahamisha wanafunzi wanufaika wa mikopo ya elimu ya juu na umma kuwa tunakamilisha malipo ya fedha...
0 Reactions
4 Replies
321 Views
Kuna wakati tunahitaji ku realise stress. Kuna wakati tunahitaji kufanya jambo jipya. Kuna wakati tunahitaji kuona kitu kipya. Kuna wakati HATUHITAJI kusoma post zenye kutafakarisha. Kuna wakati...
112 Reactions
383K Replies
11M Views
Unakumbuka siku ile vijana wanamfuata Yesu na kumwambia Kuhani Mkuu anataka kumuua kwahiyo aondoke Yesu aliwajibu? “Nendeni mkamwambie huyo mbweha hivi: ‘Leo na kesho ninafukuza pepo na kuponya...
2 Reactions
5 Replies
77 Views

FORUM STATS

Threads
1,854,810
Posts
49,641,515
Back
Top Bottom