Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Tupiamo chako, iwe ulialikwa kwenye sherehe, umepiga nacho selfie (hata kama hujala) umedoea! Umenunua, hata kama ni cha mchepuko ama nyumba ndogo cha hotelini msibani... Popote pale wee...
64 Reactions
34K Replies
2M Views
Wanabodi Kama kawaida yangu kila nipatapo fursa, huja na kwa Maslahi ya Taifa, kila Jumatano kwenye gazeti la Mwananchi na Jumapili kwenye gazeti la Nipashe na kwenye kipindi cha KMT on Channel...
8 Reactions
119 Replies
2K Views
Ni wazi Uchaguzi wa Mwenyekiti wa Chadema unafuatiliwa zaidi na viongozi wa CCM kuliko Wanachadema wenyewe Dkt. Kigwangalla amechachamaa ukurasani X akidai Mbowe hataki kuachia Uenyekiti wa...
20 Reactions
141 Replies
3K Views
Hivi hii inshu ya kupandisha bei za vocha huku mitaani kwa 10% katika kila thamani ya vocha wahusika wenyewe hawajaliona hili au wameamua kuwa “BUSINESS PARTNER” na akina Manki huko madukani?
3 Reactions
12 Replies
69 Views
E bana wanajamvi inakuwaje? Nyie Sunni tunawajuwa vizuri mlivyo na chuki kwetu. Huu msiba wa mpendwa wetu Ebrahim Raisi ni wetu washia siyo wenu. Acheni kujipendekeza. Mtuache tuomboleze kwa...
1 Reactions
14 Replies
134 Views
A
Mimi ni Mtanzania ninayeishi Marekani, kuna Mtanzania mwenzetu mbaye alikuja kama Mwanafunzi hapa, sijui vizuri kuhusu historia yake huko nyuma. Miaka kadhaa iliyopita alipata changamoto ya Afya...
51 Reactions
194 Replies
5K Views
Kama alivyo Tundu Lisu yeye ni bahari hakai na uchafu lazima autapike. Sasa na mimi namuenzi Lissu kwa kusimama katika ukweli na nina swali naomba majibu, je gari ya Lisu haitengenezeki? Maana...
19 Reactions
133 Replies
1K Views
BINTI ALIYEDAI ANAISHI NA NYOKA AJISALIMISHA KWA WAZIRI DKT. GWAJIMA Aomba radhi, adai hajawahi kufanya hivyo alidanganya. DAR ES SALAAM. Itakumbukwa hivi karibuni ilienea video mitandaoni...
27 Reactions
139 Replies
3K Views
Unadhani Freeman Mbowe hakuwa na ile faini ya kumtoa Jela? Unadhani mchungaji Msigwa mshahara wa ubunge usingemwezesha kutoka Jela hadi familia yake ikapeleka bakuli kwa Shujaa Magufuli Ili aokoe...
0 Reactions
0 Replies
1 Views
Hivi nyie makampuni ya simu hasa Airtel mnajitambua kweli? Nampigia muhudumu wa wateja anapokea ananiambia sikusikii , mwengine anapokea anajitambusha akimaliza haongei. Hivi mnajua naweza...
0 Reactions
10 Replies
335 Views

FORUM STATS

Threads
1,855,640
Posts
49,668,186
Back
Top Bottom