Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Mwenyekiti wa CHADEMA Kanda ya Kaskazini Godbless Lema amewataka Wananchi kumlinganisha Robot Eunice wa bungeni na Robot wake aitwaye Chloe ambaye Kazi yake ni kumkaribisha Robot wa Chadema or...
0 Reactions
8 Replies
420 Views
Mimi labda ninatatizo ila kiukweli AY sijawahi kumuelewa kabisa. Tangu nimeanza kumsikiliza wayback hajawahi kutoa ngoma nikaielewa kabisa. Labda ile Yuleee, nampenda sana jinsi alivyooo.... nayo...
10 Reactions
64 Replies
867 Views
Nimesikitishwa sana na kauli yenye nia ovu kutoka kwa bibi Maria Sarungi kuwa Tundu Lissu hakulipwa stahiki zake hivyo inatupasa watanzania tuchange kumnunulia Lissu gari lingine (V8, VXR) ili...
5 Reactions
15 Replies
405 Views
Ndugu zangu wana JAMIIFORUMS hapo mwanzo nilikuwa muhanga wa kutafuta Ajira hapa nchini kwakweli nilihangaika sana. Nilibahatika kupata kazi kwenye kampuni mbali mbali ikiwemo GARDAWORLD baadae...
7 Reactions
89 Replies
5K Views
Tanzania imetajwa kama nchi ya tatu ambako wafanyakazi wake wana stress za kufa mtu. Hii ni kwa mujibu wa taasisi inayojihusisha na takwimu mbali mbali ya Gallup ya Kimarekani...
6 Reactions
22 Replies
361 Views
Mzee Kinana muda wake umepita. Raisi anatakiwa atafute makamu ambaye anaweza kufanya vitu kwa manufaa ya umma kwa ujumla wake na sio kwa CCM pekee. Kwa mwenendo wa sasa watu wasio elewa wataona ni...
3 Reactions
4 Replies
180 Views
Watanzania hasa wa Jiji la Dar wameonesha kulalamika hatua ya Wachina kuamua kufanya biashara za Uchuuzi Badala ya Kuwa Wawekezaji Kama Vibali vya ukaazi walivyoomba. Wachina wameonekana maeneo...
3 Reactions
25 Replies
671 Views
Habarini za leo wakuu tafadhali kwa wenyeji wa maeneo ya RUHUWIKO(songea) naomba mjitokeze unisaidie kuna ndugu yangu namtafuta sana hap
5 Reactions
43 Replies
665 Views
Kuna mshkaji wangu tunafanya naye kazi jana amekuja analalamika kuwa wakati akijisaidia haja kubwa anatokwa na damu. Sasa ameanza kupata wasiwasi kuwa anaweza kuwa na kansa ya njia ya haja kubwa...
0 Reactions
239 Replies
113K Views
AMESEMA ALIYESEMA NITAWAFELISHA WANAFUNZI KWA HISTORIA ZANGU ZISIZO NA VYANZO VYA KUAMINIKA Lupweko said: Mzee utawafelisha watoto kwenye mitihani yao kwa historia zako ambazo hazina vyanzo vya...
0 Reactions
18 Replies
233 Views

FORUM STATS

Threads
1,854,745
Posts
49,639,633
Back
Top Bottom