Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Kuna nyoka, mjusi, kinyonga hawa wakishazaa au kutaga mayai hao wanaondoka hawana Tena time na watoto wao. Sungura na panda wao watakaa kidogo na watoto labda week then wanawaacha wajitegemee...
6 Reactions
17 Replies
228 Views
Wakuu nimekuwa nikitafakari hii kauli nzito inayotamkwa kila mara na wafuasi wa chama kinachomilikiwa na Mbowe (CHADEMA) kuwa chama chao ni mpango wa Mungu, ila bado sijathibitisha. Hata viongozi...
0 Reactions
3 Replies
44 Views
1. Siku zote simamia kwenye ukweli na uhalisia, usikubali kubali tu. 2. Ongea kwa ujasiri na uwazi, tena ongea kwa speed ndogo sio unaongea haraka haraka kama chiriku. 3. Unapo ongea na mtu...
17 Reactions
40 Replies
525 Views
Kulingana na baadhi ya Wakenya kutaka hii battle. Sasa ni muda mwafaka wa kuonesha kipi Nairobi kipo hakipo Dar es salaam na kipo Dar es salaam hakipo Nairobi. Ninaomba tuangalie katika positive...
123 Reactions
517K Replies
30M Views
Moderators naomba msifutle uzi wangu labda kuhamisha kama itawezekana.. Natumai wote mnaendelea vizuri na kwa ambao mko na changamoto Mungu awafanyie wepesi mrudi kwenye hali zenu za kawaida...
5 Reactions
8 Replies
74 Views
Una kituko umekiona mtandaoni, tushirikishane hapa…
103 Reactions
220K Replies
16M Views
Ndugu zangu Watanzania, Nikitizama na kufuatilia namna vyama vya upinzani vinavyoendeshwa ,vinavyofanya maamuzi yake,mfumo wa uongozi na namna ya kupokezana madaraka, uvumilivu na demokrasia...
0 Reactions
12 Replies
56 Views
Habari wana Jamvi la JF naamini kuna watu wanafanya Biashara na wapo kwenye Peak yani kilele cha mafanikio. Ila kuna shida inaweza kumpata mtu kupelekea akatengeneza hasara ya kupunguza faida...
4 Reactions
54 Replies
1K Views
Wakuu Heshima mbele. Juzi nilikuwa natokea PWANI nikakumbuka kwamba sikuwahi kuchukua cheti changu cha kidato cha sita. Sasa nilikuwa na mama watoto, nikamwambia sababu muda umeenda kesho...
6 Reactions
15 Replies
217 Views
Ajira za nyaluland ziwe za wanyalu pekee lakini ajira za Tanzania ziwe za wanyalu, wazanzibar na watanganyika tena wanyalu na wazanzibar wawe wanapewa vipaumbele. Ardhi ya Nyaluland iwe ya...
0 Reactions
3 Replies
33 Views

FORUM STATS

Threads
1,854,585
Posts
49,635,417
Back
Top Bottom