Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Mara nyingi tunajiona tuko salama, tunafikiri mabadiliko, kanuni, sheria za kigandamizi zinazofanywa na watawala hazituhusu sisi hasa hawa watumishi wa uma; watu wa magereza, wanajeshi, maaskari...
9 Reactions
54 Replies
1K Views
Taarifa ikufikie Popote ulipo kwamba Makamu Mwenyekiti wa Chadema, Tundu Lissu leo 17/05/2024 amekabidhiwa lile gari lake alilokuwemo siku mawakala wa Shetani walipoamua kumuua baada ya kushindwa...
15 Reactions
65 Replies
937 Views
kitu chenye baraka wengi hukiombea wakipate, kinyume chake watu huomba kiwaepuke kama watoto ni baraka kwanini watu hawaombei kupata watoto wenye usonji, vipofu, bubu, viziwi, vilema wa viungo...
2 Reactions
6 Replies
22 Views
Daaaaahh, so sad ! Mtu unamnyima mshahara kwa miezi 2 ili afe njaa? Ili afedheheke katika jamii? Nakiri kuwa kwa upande wangu nilitimiza majukumu yangu ya kila siku na kutokumalizia kipengele...
0 Reactions
5 Replies
6 Views
1. Usipende kuongea kama utani madhaifu ya marafiki zako au jirani ili ufurahishe watu 2. Hakikisha unasalimia majirani hata kama huna story nao 3. Hakikisha unaanza kusalimia watu unaowakuta...
28 Reactions
32 Replies
556 Views
Kuna malalamiko hasa upande wetu sisi wanaume juu ya tabia moja ya kuomba hela inayofanywa na wanawake. Tabia hii imepewa jina "Kuomba hela" sababu ndicho kitendo kikuu hapo hakuna jambo lingine...
5 Reactions
12 Replies
131 Views
Ni wakati sasa mkurugenzi wa NIDA abadilishwe. Ni wakati wa NIDA ijitegemee yenyewe isipewe fedha na serikali tena Kama NIDA ingepata kiongozi mbunifu ingeingiza mapato mengi sana kama...
0 Reactions
14 Replies
247 Views
Naomba kuuliza app ikiwa ya bure inaingizizaje hela? Je mfano watu milioni 2 wame download app yangu na kuitumia..kila siku....naweza vuna kiasi gani?Kwa mwaka?...kutoka wwpi?
3 Reactions
11 Replies
167 Views
Kwenye maisha kuna muda wanaume tunapendwa na wanawake tusio wapenda kwa mfano kwangu mimi niliwaigi kupendwa na mwanamke nisiye mpenda kiasi kwamba hadi aliniomba namba za simu ili tuwe...
1 Reactions
2 Replies
8 Views
Ni ushauri tu Pale Makumbusho ipo gari ya TANU aliyokuwa anaendesha Babu yangu mzee Kamtawa 😃😃😃 Gari ya Jasiri TAL iwekwe Makumbusho nasi wenye mapenzi Mema tutamchangia anunue gari lingine la...
0 Reactions
1 Replies
9 Views

FORUM STATS

Threads
1,854,633
Posts
49,636,675
Back
Top Bottom