Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Kama kichwa Cha habari kinavyojieleza,Tumieni mchango wa kumnunulia Lisu Gari mpyaa Kali. https://twitter.com/MariaSTsehai/status/1791520201558647109?t=fhOZdGURQsOZ-LxB520LiA&s=19 Angalizo...
0 Reactions
7 Replies
32 Views
Daaaaahh, so sad Mtu unamnyima mshahara kwa miezi 2 ili afe njaa? Ili afedheheke katika jamii? Nakiri kuwa kwa upande wangu nilitimiza majukumu yangu ya kila siku na kutokumalizia kipengele...
9 Reactions
23 Replies
510 Views
Baada ya kuchambua kwa kina hizi timu za kibongo na sasa nimejiridhisha kuwa Bingwa wa NBC Premier League msimu wa 2023/2024 atakuwa timu ya Simba Sc, mpaka ligi NBC inafika ukingoni Simba Sc...
25 Reactions
125 Replies
10K Views
Huna nyumba, au unanyumba ya chumba kimoja au viwili vya kulala wakati una familia Unatumia usafiri wa umma kwenye shughuli zako Kiasi cha pesa kinachoingia kwenye Account mwisho wa mwezi...
21 Reactions
141 Replies
3K Views
Leo Simba Wana tukio (event) pale Dodoma mgeni rasmi akiwa Naibu Spika Zungu. Kinachonifanya niseme chanzo cha matatizo ya Simba ni Viongozi ni pale Mjumbe mmoja wa Bodi aliyepewa nafasi WA...
14 Reactions
33 Replies
1K Views
Wakili Msomi Boniface Anyisile Kajunjumele Mwabukusi leo amepewa,adhabu ya onyo iliyotolewa na kamati ya maadili na nidhamu https://m.youtube.com/watch?v=gQKBmG0mSns Wakili Boniface Mwabukusi...
0 Reactions
5 Replies
225 Views
Kuna mtu anaitwa Eldadi, mwingine ni Elia kumenya na mch. Flora! Je, ni nguvu gani wanatumia kutabiria watu vifo? Kurogwa na mambo mengine kama hayo. Kwa anayewafahamu anisaidie
7 Reactions
125 Replies
3K Views
Kwenye maisha kuna muda wanaume tunapendwa na wanawake tusio wapenda kwa mfano kwangu mimi niliwaigi kupendwa na mwanamke nisiye mpenda kiasi kwamba hadi aliniomba namba za simu ili tuwe...
4 Reactions
18 Replies
342 Views
Yele yanayo tokea Kilimanjaro Airport na kule Ngorongoro ni trela tu,full Move inakuja na kuna kulia na kuswaga meno mwaka 2026. Kinacho ngojwa kwa sasa ni uchaguzi upite kwanza kabla ya move...
0 Reactions
7 Replies
90 Views
Huu ni uzi maalum wa kukushana uhalifu mbalimbali uliotokea Tanzania 🇹🇿 kwa nyakati mbalimbali. Matukio haya hayako kwenye mtiririko maalum wa kikalenda. 1. Matukio ya uchunaji ngozi watu mkoani...
9 Reactions
169 Replies
27K Views

FORUM STATS

Threads
1,854,685
Posts
49,638,326
Back
Top Bottom