Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Jamaa wanasema huduma imerudi ila kiuhalisia ni mapichapicha tu hakuna lolote bado hali ni mbaya.
0 Reactions
7 Replies
75 Views
Niende Moja Kwa Moja kwenye mada, enyi waislamu kwanini hamtambui uwepo wa mtoto wa nje ya ndoa wakati wa mirathi? Eti mtoto wa nje ya ndoa hana haki ya kirithi mali za baba ake mzazi hivi sheria...
3 Reactions
69 Replies
772 Views
"Bodaboda ni kero hatusemi kwamba vijana wetu wasijiajiri kwa kuendesha bodaboda, lakini askari wako pale wakati taa ni nyekundu wao ndiyo wanapita wale vijana ni nguvu kazi ya Taifa wanagongwa...
0 Reactions
2 Replies
47 Views
kwamba eti kuna mganga wa kienyeji mahali Fulani, anaweza kumrudisha mpenzi wako alie potea au kukutoroka au kukufanya upendwe sana na boss wako ofisini au akupe dawa ya kupandishwa cheo kazini...
1 Reactions
27 Replies
164 Views
Mbunge wa Zamani wa ccm huko Rungwe, Sauli Pattaya, amewekwa kitimoto na Waziri wa Ardhi Jerry Silaa kwa utapeli wa wa Nyumba ya Udongo, kuivunja na kujenga jengo la ghorofa 8 kwa kushirikiana na...
1 Reactions
8 Replies
144 Views
Dada anafunguka vibaya huko clouds FM kuhusu mambo ya cdm. Anamuanika Mbowe hadharani.
16 Reactions
226 Replies
6K Views
Salaam, Shalom! Nimefuatilia Kwa ukaribu jinsi waziri Jerry Slaa anavyofanya katika utatuzi wa migogoro ya ardhi, japo Bado ni mapema sana kusema kuwa anafanya vizuri, lakini Kwa sasa itoshe...
23 Reactions
232 Replies
5K Views
Ati otikiii🤣🤣👇👇
3 Reactions
24 Replies
562 Views
Kulingana na baadhi ya Wakenya kutaka hii battle. Sasa ni muda mwafaka wa kuonesha kipi Nairobi kipo hakipo Dar es salaam na kipo Dar es salaam hakipo Nairobi. Ninaomba tuangalie katika positive...
123 Reactions
517K Replies
30M Views
Nimeona leo bungeni kulikuwa na robot linalokaribisha wabunge. Je, bajeti ya manunuzi au ya kutengeneza robot hilo ilitoka wapi? Nini hasa dhumuni la robot hilo kwa sasa katika nchi yetu yenye...
7 Reactions
69 Replies
1K Views

FORUM STATS

Threads
1,854,416
Posts
49,631,275
Back
Top Bottom