Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Mbunge anasema na au anakana kwamba yeye si Raia wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania “Mtanzania”. Sasa Humo Bungeni anafanya nini? Hatuna Nchi inayoitwa Zanzibar wala nchi ya Tanganyika. Tuna...
5 Reactions
30 Replies
814 Views
Kulingana na baadhi ya Wakenya kutaka hii battle. Sasa ni muda mwafaka wa kuonesha kipi Nairobi kipo hakipo Dar es salaam na kipo Dar es salaam hakipo Nairobi. Ninaomba tuangalie katika positive...
123 Reactions
517K Replies
30M Views
  • Suggestion
UTANGULIZI. NB: picha ya kibonzo kwa hisani ya mtandao mchoraji Marco Tibasam 📌Tanzania ina historia ya mafanikio katika michezo mbalimbali kama vile riadha, masumbwi,soka, na mengineyo. Ingawa...
3 Reactions
5 Replies
67 Views
“Tumepokea ugeni mzito kutoka moja ya Klabu kubwa Barani Afrika, TP Mazembe ya DR Congo ambao wamevutiwa na namna Klabu yetu ya Yanga inavyoendeshwa hivyo wamekuja hapa Tanzania kujifunza mambo...
15 Reactions
146 Replies
3K Views
Tukutane wote wenye virusi vya ukimwi na kuelezana ulijisikiaje ulipoambiwa kuwa una upungufu wa kinga mwilini? Mimi nakumbuka ilikuwa 2020, mwezi wa 7 tarehe 17 nilipima katika hospitali moja ya...
86 Reactions
520 Replies
16K Views
Ni yule aliyekuwa zezeta wa Mercy once again. Ilikuwa mwaka 2016 kuna dem flan wa kitusi walikuwa wamehamia kijijini kwetu wakitokea huko walikotoka. Sasa bahna huyo Binti ni mrefu mwembamba...
4 Reactions
46 Replies
693 Views
Life kama linaanza kuwa sawa kwa upande wangu. Hivyo nahitaji niwe na kagari kamoja hivi ka kwenda nako harusini. Je kwa Dar wapi naweza pata gari kali kwa bei Chee. Budget yangu ni kama...
3 Reactions
22 Replies
1K Views
Mashujaa wetu wanazeeka! 😢 Yupi kati ya hawa alikuwa muigizaji bora kwako?
2 Reactions
9 Replies
104 Views
Kila mtu hata kama ni jasiri kiasi gani lazima kuna kitu atakuwa anakiogopa tu. Hitler mwenyewe aliogopa mtihani. Katika mazingira yalituzunguka tunaishi na viumbe hai wengi yaani mimea na wanyama...
5 Reactions
72 Replies
1K Views
Kumekuwa na utabiri wa hali ya hewa wa kutahadharisha juu ya majanga mbalimbali ikiwemo vimbunga kwa bahati mbaya sana hivi karibuni tumeona kwamba majina mengi yamekuwa ya jinsia ya kike, kama...
0 Reactions
0 Replies
1 Views

FORUM STATS

Threads
1,854,268
Posts
49,627,141
Back
Top Bottom