Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Mkazi wa Jijini Dar es salaam amekamatwa na Polisi Mkoani Njombe akiwa na Tsh. 29,374,000 katika nyumba ya kulala Wageni (Gesti) Mjini Makambako ambapo fedha hiyo inadaiwa ameipata kwa njia ya...
1 Reactions
1 Replies
25 Views
Napigwa bit kwa kuhisi kua nataka kuwasiliana na mama yake mtoto nikiwa na mke wa sasa.. Vipi huko mwenzangu? Imekua kesi, yani sipat wahasa wa kuongea na dogo kwa sasa Ana miaka 4. Toka niachane...
1 Reactions
10 Replies
28 Views
Mbunge wa Konde (ACT Wazalendo), Mohamed Said Issa amesema siku yoyote anaweza kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania hivyo vyombo vya ulinzi na usalama vidhibiti ubaguzi dhidi ya Wanzibari...
0 Reactions
2 Replies
22 Views
Waziri Mkuu wa Slovakia mbaye ni mkosoaji mkubwa wa upelekaji misaada ya silaha Ukraine amepigwa risasi nne wakati akihutubia wananchi na amekimbizwa hospital na helicopter kwa matibabu zaidi...
6 Reactions
27 Replies
922 Views
Sijui kama watanzania wengi wanajua kuwepo kwa vikao vya bunge la bajeti vinavyoendelea Dodoma. Yaani kuanzia mitaani, mitandaoni, redioni, Kwenye Luninga na magazeti hakuna habari wala mijadala...
2 Reactions
9 Replies
155 Views
Habari wapendwa Imenichukua muda mrefu mno kuandika hii mada lakini imenisukuma tu niandike baada ya kuweka namba yangu kwenye thread fulani humu jamii forum nimepata simu zisizopungua 30 kutoka...
17 Reactions
166 Replies
24K Views
Ndio, wewe mwanamke ukiwa tayari kuolewa, toka nje umtafute mumeo, usikae ndani kumsubiri, mfate huko nje. Mumeo hutampata ndani, toka nenda kanisani kusali, nenda msikitikini, nenda kwenye...
7 Reactions
26 Replies
479 Views
Habari wadau. Narudi tena kusisitiza shida za Barabara za Goba kulangwa! Leo tumenusurika tena kupoteza watoto kumi. Sijui tupige vipi kelele hizi barabara zitengenezwe kwa ubora. Sio...
3 Reactions
3 Replies
68 Views
Kuanzia nafanya utafiti jinsi Lugha ya Kiswahili inavyaondikwa kimakosa katika mtandao wa bbc swahili Mfano leo wameandika Mamilioni ya watuwenye umri wa makamo wameongozwa kimakosa kuamini kuwa...
0 Reactions
19 Replies
166 Views
Mnamo tarehe 8/04/2024 Majira ya saa 2 Usiku katika Kata ya Iyela Wilaya ya Mbeya Mjini inasadikika Mkurugenzi wa Kampuni ya City Casino raia wa Burgalia anayeitwa Vasil Dosev Dimitrov, alimchukua...
5 Reactions
57 Replies
2K Views

FORUM STATS

Threads
1,854,068
Posts
49,621,561
Back
Top Bottom