Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Niliposoma Vitabu Kadhaa Vinavyoelezea MAPEPO (Demons) Kikiwemo Kile Cha Dag Hewald Mills Kinachoitwa "Demons And How To Deal With Them" Nilijifunza Kuwa Kumbe Mapepo Yamegawanyika Kulingana na...
29 Reactions
123 Replies
5K Views
Dispensary inauzwa 120M,ipo Michese Dodoma,eneo lina ukubwa wa 951 mita za Mraba ,majengo mawili,Sehemu yakusubiria wagonjwa na jengo la RCH. PM kwa mawasiliano Zaidi Hakuna Dalali
1 Reactions
1 Replies
2 Views
Depression inaniua taratibu, sasa siwez hata ongea nikisema neno nalia.
15 Reactions
87 Replies
1K Views
Naombeni ushauri, Nilikua na mahusiano na mdada kwa kipindi cha mwaka mmoja umepita sasa. Na kama week mbili nyuma zimepita nilimfumania akiwa na mwanaume na nikaamua kuachana nae, simu zake...
2 Reactions
17 Replies
162 Views
Aiseeeee habari za leo wazee......... Huyu jirani yangu ana watoto wawili mmoja yuko darasa la tano mwingine yuko darasa la pili, ni mdada wa makamo shughuli yake kuu ni kupika vitafunwa asubuhi...
21 Reactions
118 Replies
4K Views
Nimeisoma kwa kiasi fulani Imani ya Kiarabu na Kiyahudi. Hizi imani mbili zinafanana, zote zinamkana Yesu Christu ndio maana maisha yao ni ya laana ya vita hadi hadi Yesu arudi. Warabu na Waarabu...
2 Reactions
11 Replies
81 Views
Mchina ana kazi nzito haswa dhidi ya marekani. Hapa ni Biden amepitisha furushi hili. I just imposed a series of tariffs on goods made in China: 25% on steel and aluminum, 50% on...
8 Reactions
111 Replies
2K Views
Daktari nguli toka Zambia ametoa tamko kupitia Facebook ambalo wapenda punyeto huenda wakalifurahia sana. Binafsi sina facts za kisayansi kumpinga ila kulingana na ongezeko la wauza dawa za nguvu...
4 Reactions
16 Replies
166 Views
Tukutane wote wenye virusi vya ukimwi na kuelezana ulijisikiaje ulipoambiwa kuwa una upungufu wa kinga mwilini? Mimi nakumbuka ilikuwa 2020, mwezi wa 7 tarehe 17 nilipima katika hospitali moja ya...
61 Reactions
335 Replies
8K Views
Naangaza angaza magari ya Be-Forward nakuta wanantangazia nyumba za kupanga na kununua... Hili ni kampuni la Kijapani, hela zao zinaenda Japan, hata mtandao wao ni...
4 Reactions
3 Replies
28 Views

FORUM STATS

Threads
1,853,991
Posts
49,619,501
Back
Top Bottom