Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Una kituko umekiona mtandaoni, tushirikishane hapa…
103 Reactions
220K Replies
16M Views
“Tumepokea ugeni mzito kutoka moja ya Klabu kubwa Barani Afrika, TP Mazembe ya DR Congo ambao wamevutiwa na namna Klabu yetu ya Yanga inavyoendeshwa hivyo wamekuja hapa Tanzania kujifunza mambo...
12 Reactions
99 Replies
1K Views
Habari wakuu Nikiri Mimi ni muumini wa demokrasia ya vyama vingi na siasa za hoja za ushindani kwani naamini ushindani wowote huletea wananchi maendeleo Ni moja ya watu tunatamani kuona tunakuwa...
3 Reactions
22 Replies
390 Views
Wakuu Heshima mbele. Mimi binafsi kwanza niseme ni mtu ambaye napenda sana kusoma historia tofauti tofauti. Nimekuwa nikivutiwa na mzee wangu Mohamed Said katika maandiko yake mengi, mzee Mohamed...
6 Reactions
28 Replies
537 Views
Tukutane wote wenye virusi vya ukimwi na kuelezana ulijisikiaje ulipoambiwa kuwa una upungufu wa kinga mwilini? Mimi nakumbuka ilikuwa 2020, mwezi wa 7 tarehe 17 nilipima katika hospitali moja ya...
27 Reactions
131 Replies
3K Views
Hv ni kwel kwa waendao kwa wagang kuna dawa mix full ya kumvuta mpenz kwa harak? Kama kwel ajuae atujuze! Maana weng waongo.
3 Reactions
106 Replies
5K Views
Wala sina mengi ila nimeshangazwa sana. - Ni vile tu siwezi sema shkamooi kwa hivi vibint ya 2000's, ila yamenitokea na yamenikuta - Ni leo leo wala sio juzi au jana nikiwa katika harakati zangu...
17 Reactions
166 Replies
3K Views
Shehe Ponda ambaye ni mwenyeji wa Kigoma anesema Muungano wa Zanzibar na Tanganyika faida yake ni ndogo ukilinganisha na Hasara Kupitia ukurasa wake wa X shehe Ponda ameitaka Wananchi waulizwe...
3 Reactions
15 Replies
534 Views
FANYA HIVI ILI IWEZE KUFURAHIA NDOA YAKO/ MAHUSIANO YAKO Na Comrade Ally Maftah KING OF ALL SOCIAL MEDIA Ninachambua mambo ya msingi yatakayokufanya ufurahie kuwa katika mahusiano na ndoa kwa...
0 Reactions
0 Replies
5 Views
Wakuu kuna kitu nimekuwa sikielewi, hizi nyumba za kupanga bei zinapaa sana. Unakuta nyumba ipo Kibamba au Madale unaambiwa kodi 500k unabaki unashangaa. Hivi kwa mishahara na biashara zetu hizi...
10 Reactions
36 Replies
837 Views

FORUM STATS

Threads
1,853,874
Posts
49,616,145
Back
Top Bottom