Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Ndg wana JF salaam? Nimelazimika kuja hapa kuweka jambo hili sawa. Nimeona uzi unaoongelea kuwa mimi na mhe Nchimbi tumewashitaki vijana hao waliojitaja kwa kuingilia mawasiliano. Naomba kuweka...
23 Reactions
671 Replies
53K Views
Aiseeeee habari za leo wazee......... Huyu jirani yangu ana watoto wawili mmoja yuko darasa la tano mwingine yuko darasa la pili, ni mdada wa makamo shughuli yake kuu ni kupika vitafunwa asubuhi...
10 Reactions
61 Replies
1K Views
MAKONDA AAINISHA MPANGO KAZI WA VIPENGELE SITA: LETS MAKE ARUSHA GREAT AGAIN! April 8, 2024 Arusha ⦁ Mapokezi yamenitia moyo wa kuwa mtumishi mwema na mtetezi wa wanyonge. Kamwe sitaungana na...
14 Reactions
3K Replies
109K Views
Mpaka sasa nchi ina Idadi ya majiji sita, ambayo ni ; Dar es Salaam Mwanza Tanga Mbeya Arusha Dodoma Ni miaka 3+ tangia kuongeza kwa Idadi ya majiji, ambapo Dodoma ilipandishwa hadhi na kuwa...
6 Reactions
71 Replies
2K Views
Huyo Dickson Matata kaomba Uenyekiti wa Kanda ya Magharibi, huku Joseph Mbilinyi akiomba nafasi hiyo Kanda ya Nyasa. Swali ni Je Watatoboa?
0 Reactions
0 Replies
1 Views
Nawasalimu katika jina la Muungano. Hivi Mauritius wana maajabu gani ambayo Zanzibar hatuna? Fikiria Emirates A380 linatua mara mobility kwa siku abiria (600x2) pwmojanna mashirika mengine kama...
2 Reactions
31 Replies
448 Views
Furaha iwe na mipango. === Kaizer Chiefs are set to announce new coach and two signings on Wednesday? On Monday, a statement indicating that Kaizer Chiefs will unveil a new coach and players on...
0 Reactions
21 Replies
621 Views
Khanga Kubwa kutoka Zanzibar zinapatikana. Bei ya rejareja sh 20,000. Bei ya jumla sh 19,000 kuanzia 3. Tunapatikana tabata kinyerezi, dar es salaam. Biashara ya Mtandaoni, Ukihitaji tunafanya...
0 Reactions
0 Replies
1 Views
Ukipanda daladala unaweza kugundua jambo lilelile kila siku: kila daladala inapofika kituo chenye watu wengi mlango umeshazibwa na watu ambao hawawezi kusubiri kupambana kwa vile viti vichache...
0 Reactions
30 Replies
426 Views
Basi zinauzwa Namba D Injini_Scania F310 Gearbox_scania ya gia 6 Mbele Disc brake Siti_52 Body_Gemilang malaysia Usb charging ports zipo Bei Tzsh 45,000,000/= kwa kila moja Matairi utanunua...
0 Reactions
2 Replies
79 Views

FORUM STATS

Threads
1,853,729
Posts
49,612,198
Back
Top Bottom