Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Habari za muda huu wana JF, natumai ninyi ni wazima wa afya na kama kuna mgonjwa kati yenu basi mwenyezi mungu amponye. Bila kupoteza muda tuje kwenye mada husika iliotuleta hapa kwenye huu uzi...
3 Reactions
20 Replies
1K Views
Hii sijui ni tetemeko au ni kitu gani, wataalamu tunaomba mfuatilie na mtupatie majibu, Ardhi inapasuka na nyumba zinabomoka, eneo ni Saku Mwisho DSM --- Taharuki imeibuka kwa wakazi wa Mbagala...
8 Reactions
87 Replies
3K Views
Kwa wanaomfahamu vizuri huyu mkongomani, je kuna ukweli wowote katika hilo? Uchinguzi wa juu juu unasema anaweza akawa ni devil's angel.. =========================== Update: 28/05/2024...
1 Reactions
27 Replies
3K Views
Natamani kufuga sangara ila vifaranga vya sangara sijui nitawapatia wapi? yeyote wakunieleza nakaribisha kwa moyo wote. Na kama hakuna anae uza kwanini mtu asianze utafiti na kuzalisha vifaranga...
1 Reactions
44 Replies
515 Views
Makampuni yanatumia vitu vidogo sana kutupiga hela, ukichukua simu ya 4g na 5g kwa internet ya tz download vitu kwa pamoja kwa mtandao mmoja utaona hazipishani Utakuta mtu simu kuwa na 5g anauza...
5 Reactions
44 Replies
586 Views
Tuliwambia humu Yemen hakuna Taifa duniani linamuweza mkabisha, mkawa mnacheka wengine wakawa wanawacheka eti ni masikini kuliko hata Tanzania. Leo hi America kakimbia Red Sea kakiri wazi Yemen...
4 Reactions
11 Replies
560 Views
Mchungaji Tobi Adegboyega ndie aliezaa watoto wote na mke wa mchezaji wa zamani wa Super Eagles na Man city Michael Olanrewajin Kayode. Mchungaji kapiga mashine mpaka mke wa mtu Dora kayode kuzaa...
5 Reactions
28 Replies
1K Views
Kulingana na baadhi ya Wakenya kutaka hii battle. Sasa ni muda mwafaka wa kuonesha kipi Nairobi kipo hakipo Dar es salaam na kipo Dar es salaam hakipo Nairobi. Ninaomba tuangalie katika positive...
124 Reactions
520K Replies
30M Views
Rais wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan amesema mara nyingi anapokwenda nje ya Nchi huwa anafuatana na jopo la Wafanyabiashara lakini kwa sasa anataka kugeuka kidogo na atakuwa anasafiri pia na...
6 Reactions
91 Replies
3K Views
Kigoma kuna utamaduni unafanywa na wanaume unaitwa kujipiga bomba. Wanafanya hivyo ili kupunguza mafuta kiunoni na kuongeza nguvu za kiume. Wanachemsha mchanganyiko wa madawa kisha mchesho ukipoa...
32 Reactions
255 Replies
18K Views

FORUM STATS

Threads
1,858,064
Posts
49,737,189
Back
Top Bottom