Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

1. Wanawake wa kichaga ukioa akiona tu una future anaanza kujiweka royal kwako kwa kukuaminisha yeye ni wakitofauti anataka mfanikiwe wote 2. Anakuweka karibu hadi hati zisome majina yake kupitia...
6 Reactions
46 Replies
605 Views
Wakuu natumai mu wazima! Kuna wimbi la Be Forward kuleta magari mabovu ambayo yanasabibisha usumbufu mkubwa kwetu sisi wateja. Nimenunua Alphard- nikaambiwa imefanyiwa mpaka na Inspection, na...
27 Reactions
211 Replies
10K Views
Taarifa inayosambaa mitandaoni inaeleza kwamba, Mtangazaji wa TBC, Sued Mwinyi amefikwa na Umauti leo, kwenye Hospitali ya Mloganzila ambako alilazwa kutokana na maradhi yaliyokuwa yanamsumbua...
5 Reactions
30 Replies
1K Views
India imevunja rekodi ya kujenga barabara ya njia 10 kilometers 100 kwa siku 100 pekee Sisi tunavunja rekodi kwa matozo tu Habari katika picha
2 Reactions
9 Replies
227 Views
Miaka miwili iliyopita huko Kigamboni, Nilikuwa natoka kwangu na kwenda dukani kufuata mahitaji, wakati nipo njiani kuna vijana watano walikuwa kwenye mjadala juu ya kufanikiwa. Ulikuwa mjadala...
12 Reactions
42 Replies
1K Views
Mnakimbia mataifa yenu, mnagoma kukimbilia mataifa ya waislamu na kuchagua kwenda bara Uropa kule ambako mnazaliana, ila mnataka hao huko Uropa wabadilishe mila na desturi zao ziendane na...
15 Reactions
112 Replies
3K Views
Mbunge wa Geita vijijini mh Msukuma ameishauri serikali iachane na kufanya Biashara na badala yake Biashara ziachiwe sekta binafsi Dr Msukuma alikuwa analia na kampuni ya Tanoil ambayo CAG...
10 Reactions
18 Replies
782 Views
Ndugu zangu maisha sio kutafutana, maisha ni kutafuta, mwanaume kama huna pesa, basi niseme maisha yako yatakua ya hovyo na utakufa ukiwa na uchungu sana.. Safari ni ndefu sana iliyojaa tabu...
20 Reactions
105 Replies
14K Views
  • Sticky
Welcome to the Real Madrid C.F. Jamii Forums thread. Keep up to date with the latest news & engage with the club and other supporters. The club formed in 1902. Stadium: Santiago Bernabéu...
39 Reactions
51K Replies
2M Views
Kwenye safari ya kwenda mbinguni, hata mchungaji wangu simuamini. Simuamini kila mtu anayesema BWANA BWANA BWANA. Ishu ya kwenda mbinguni ipo ndefu sana. Nawakumbusheni, hao wachungaji, mashehe...
4 Reactions
12 Replies
557 Views

FORUM STATS

Threads
1,853,389
Posts
49,602,909
Back
Top Bottom