Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Makamu Mwenyekiti wa Chadema mh Tundu Antipas Lisu amewasilisha ushahidi wake wa tuhuma za viongozi kupenyezewa rushwa na Matajiri wa CCM Mwenyekiti wa Chadema mh Mbowe atalitolea tamko pamoja na...
0 Reactions
14 Replies
359 Views
Kiongozi wa hovyo ametugharimu mpaka sasa baadhi ya mitandao imeshindwa kutoa huduma ya intaneti. Mambo kibao hayaendi, leo tunaingia ofisini na hatuna cha kufanya sababu ya huyu Waziri mmoja...
3 Reactions
24 Replies
893 Views
Habari za mida hii?? Namshukuru mwenyezi Mungu kwa kuni ruzuku uhai. Mara kadhaa nimeskia wanaume wenzangu wakilalamika kuwa wake zao hawaamini kabisa kuwa hawana hela katika kipindi chao cha...
2 Reactions
13 Replies
230 Views
HII NIKO SERIOUS MWOTA NDOTO HAFI MPAKA ITIMIE VIONGOZI WA SIMBA PELEKEN WACHEZAJI WENU WAKAOMBEWE CHUKUEN SERIOUS MANENO YA BENCHIKA HAWA N WANECHUKULIWQ UFAHAMU UMWAGUMU KUELEWA UKIONA MTU...
0 Reactions
1 Replies
2 Views
Simba SC haishindi kwa Ubora wa Kocha wa muda Mgunda bali baada ya Viongozi baadhi wa Simba SC ambao wana DNA na Yanga SC pamoja na Matajiri wao wameshamaliza Jukumu lao walilopewa. Mpango ulikuwa...
0 Reactions
0 Replies
1 Views
Kwa mawazo yangu kati ya walimu wakuu ambao wanahitaji nishani za kitaifa ni Mwalimu mkuu wa zamani wa Ilboru. Huyu ndiyo alifanya Ilboru kuwa shule ambayo kwa miaka yote ni ya kipekee kwa kutoa...
2 Reactions
20 Replies
627 Views
Habari! Nilipomaliza form 6 zikatoka nafasi za kwenda jeshi wanaita "kwa mujibu" basi nikaangaza macho yangu kwenye orodha nikaona "Ephen - Rukwa" Basi nikafurahi sana, furaha haikua kwasababu...
138 Reactions
1K Replies
460K Views
Wakuu kama thread inavojieleza either kulingana na uzoefu wako au umeskia ndugu jamaa wanasema tupate, mkombozi wa mapishi kwa umeme. Induction cooker Multi Cooker
3 Reactions
70 Replies
2K Views
Naombeni majibu wandewa. Kuna mmoja aliniambia wanafanya hivyo kwasababu ma boss wao huwa wanawasumbua. Je, kuna ukweli kwenye hili?
0 Reactions
11 Replies
186 Views
Ahabu - mke 1 Herode - mke 1 Anania - mke 1 Pontio Pilato - mke 1 Yeroboamu - mke 1 Nebukadreza. - mke 1 Hamani - mke 1 Na wote walipotea njia na kumsaliti Mungu. 1. Ibrahimu -...
5 Reactions
15 Replies
357 Views

FORUM STATS

Threads
1,853,458
Posts
49,604,753
Back
Top Bottom