Mkuu wa mkoa wa Arusha katika kile kinachoitwa kusikiliza kero za wananchi jana akiwa amevalia kinadhifu mavazi ya kofia na tisheti vyenye maneno "Jesus did it" amezungumzia mambo mawili muhimu...
Mapema wiki hii, vyombo vya habari vya Indonesia viliripoti kisa cha ajabu cha mwanamume mwenye umri wa miaka 26 ambaye aliishia kupiga simu polisi baada ya kugundua kuwa mwanamke ambaye alikuwa...
Mjukuu wa baba wa Taifa la Zanzibar Fatma Karume amesema Bunge la Dodoma lina Wabunge 50 wa Zanzibar ( Minority) na Wabunge 250 wa Tanganyika ( Majority) hivyo wakati mwingine hufanya Maamuzi...
Kulingana na baadhi ya Wakenya kutaka hii battle. Sasa ni muda mwafaka wa kuonesha kipi Nairobi kipo hakipo Dar es salaam na kipo Dar es salaam hakipo Nairobi.
Ninaomba tuangalie katika positive...
Mzee Wa upako anaamini Yesu Sio Mungu ni mojawapo tu wa viumbe vilivyoumbwa na Mungu msikilize mwenyewe akiongea
https://youtu.be/arslWzOsg6U?si=kb8B1gDqxFl-jXq8
INTRODUCTION.
Sikutishi, Ninakupa UKWELI Ili uamue mahali pa kwenda utakapokufa.
MBINGUNI ni makazi ya Walio hai.
KUZIMU: Ni nyumbani kwa wafu, ni gereza la kuwatunza wafu wakipitia mateso...
Juma Nkamia amefungua njia. Ipo siku Humphrey Polepole naye ataongea kilichomfanya kuendesha operesheni ya kununua wabunge wa upinzani.
Na pia Makonda kuna siku ataeleza kilichomsukuma kuendesha...
Habarini Wana jf....... naomba mwenye best way ya kuinvest money na KUPATA ata 5% of it per month anisaidie maan nilijaribu kuweka tigo pesa kibubu tsh 300,000 TATU na KUPATA gawio la tsh 600 kwa...
1: Mungu ananguvu kuliko shetani.
2: Mungu ametoa kila kitu cha lazima mtu yeyote atakaye kwenda aende. Hakuna alichobakiza.
3: Neema ya Mungu ina nguvu kuliko nguvu ya dhambi
4: Kwa Mungu...
Wakuu Salaam,
Toka nimekaa hapa Jiji la Chalamila, Jana ndio mara yangu ya kwanza kufika Mbagala na kulala huko. Huu Ndio Mtazamo wangu na Baadhi ya niliyoyashuhudia Mbagala..
1. Mbagala Ina...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.