Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Mwaka 1947 umoja wa mataifa uliweka mipaka kati ya waarabu na wayahudi. upande wa waarabu ukaitwa Palestina kwa mara ya kwanza (jina walilopewa waarabu enzi warima wakkitawala Israel), upande wa...
4 Reactions
30 Replies
419 Views
Nilisikia mahali kwamba Zanzibar ina wakilshwa na wabunge 80 kwenye bunge la Muungano, na raia wote wa Zanzibar hawafiki milioni moja. Halafu eti mtanzania bara hawezi kugombea nafasi yoyote ya...
0 Reactions
5 Replies
84 Views
Kulingana na baadhi ya Wakenya kutaka hii battle. Sasa ni muda mwafaka wa kuonesha kipi Nairobi kipo hakipo Dar es salaam na kipo Dar es salaam hakipo Nairobi. Ninaomba tuangalie katika positive...
123 Reactions
515K Replies
29M Views
Nashindwa hata kujieleza maumivu yake kumbe ndo hivi wanangu mpaka video zao wakiwa kitandan ninazo kwenye simu yangu nashindwa hata kumuangalia kwa hasira huyu mwanamke hata kumuulizia juu ya...
9 Reactions
29 Replies
353 Views
Tunaambiwa kuwa Tanganyika na Zanzibar ziliungana Kwa sababu ya kuwepo Kwa mahusiano ya karibu na ya kihistoria baina ya nchi hizi mbili katika nyanja mbalimbali kama vile undugu wa damu biashara...
4 Reactions
13 Replies
1K Views
Wanaume badilikeni zama za kuhangaika na mwanamke kisa unampenda sana epukeni hiyo tabia. Wanawake sasa kwa uchunguzi nilioufanya usio rasmi Asilimia sio chini ya 70% wanajiuza... Anaweza jiuza...
6 Reactions
17 Replies
384 Views
Ni kauli ya boss wangu miaka 5 nyuma kipindi namsaidia kwenye kijiwe chake Cha kutibu watu huku na yeye anapambana kwenye ajira ya serekali na kijiwe chake .Nikiwa kama mtu wa Maabara na muda...
3 Reactions
20 Replies
234 Views
Juzi mama wa mwanangu alikua anaenda dukani, mtoto nayeye akataka kwenda mama yake akamzuia dogo akawa mbishi. Ikabidi wakubaliane kwamba hakuna kubwebwa, mtoto akakubali safari ikaanza, kama...
9 Reactions
16 Replies
143 Views
Salaam shalom!! Mifumo yote ya kiuongozi, kiutawala, kiuchumi, kisiasa ni copy and paste Toka Ulimwengu usioonekana. Kitabu kiitwacho BIBLIA, NENO la Mungu, ni kitabu chenye codes nyingi sana za...
1 Reactions
11 Replies
55 Views
Mzee Wa upako anaamini Yesu Sio Mungu ni mojawapo tu wa viumbe vilivyoumbwa na Mungu msikilize mwenyewe akiongea https://youtu.be/arslWzOsg6U?si=kb8B1gDqxFl-jXq8
19 Reactions
377 Replies
4K Views

FORUM STATS

Threads
1,853,309
Posts
49,596,345
Back
Top Bottom