Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Shida ya Lisu hajikiti kuongelea yaliyomo kwenye Ilani ya Chadema anapuyanga tu kifupi Chadema hawana mtetezi wa Ilani Yao tofauti na CCM CCM Huwa Iko focused muda wote huongelea Ilani ya Chama...
0 Reactions
11 Replies
53 Views
Wabunge wa Zanzibar wanatakiwa kuhudhuria vikao vya bunge vya mambo ya muungano tu sio vikao vyote vya bunge Kuna bajeti mfano hazihusu mambo ya muungano wanakalia Nini ? Au Kwa Nini wawawekwe...
0 Reactions
4 Replies
22 Views
Uzi huu ni maalum kwa wale wapendao kupeana likes. Hapa comment chochote kasoro lugha chafu utapata like yako saaafii! Karibuni wadau.
927 Reactions
1M Replies
40M Views
Wanajamvi Leo nimekuja, mwenzenu yamenifika shingoni Nina miaka mitatu tangu nimeingi kwenye uchimbaji wa madini huku chunya mbeya, Nimamiliki karasha, nimeshapoteza zaidi ya milioni 40 katika...
0 Reactions
0 Replies
1 Views
Jamani, mimi sina la kuongeza hapa. Normal physiology na human taste inakubaliana na philosophy ya binadamu kwamba chakula fresh from the kitchen lazima kiwe kitamu kuliko kiporo. Ila linapokuja...
11 Reactions
58 Replies
660 Views
Bila Benki Kuu na Wizara ya Fedha kuongilia kati, naona mgomo mkubwa unanukia Arusha au Nchi Nzima kutoka kwa mawakala wa mabenki na taasisi za fedha wanaokusanya madeni mara baada ya Makonda...
12 Reactions
192 Replies
4K Views
Habari mdau. Je ulishawahi kukaa chini uka relax kisha ukaanzq kuyasoma mawazo yako? Mfano post zako za JF, nyuzi ulizo anzisha, post zako gacebook, instagram n.k za kuanzia miaka kumi mpaka...
0 Reactions
4 Replies
23 Views
Waziri Nape Nnauye atembelea Ofisi za JamiiForums ==== Nimekuwa verified member wa JamiiForums tangu zamani, pia malezi ya chama changu yamenifanya nipende mjadala. Nimefurahi kuja kuwaona...
11 Reactions
57 Replies
473 Views
Wakuu nipo dilemma mwenzenu, kuna msichana week jana tu hapa nimekumbana nae mtaani she seemed so hot 🔥, na sikuweza jizuia kuomba namba, tulianza kama urafiki hivi, days went by na bond flani...
11 Reactions
70 Replies
1K Views
UKARABATI WA HOSPITAL HALMASHAURI YA WILAYA BAGAMOYO WASHIKA KASI Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Willaya ya Bagamoyo Bw. Shauri Selenda, tarehe 09 Mei 2024, ametembelea na kukagua Mradi wa...
0 Reactions
1 Replies
7 Views

FORUM STATS

Threads
1,852,530
Posts
49,575,415
Back
Top Bottom