Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Kwanza Niombe radhi kwa kuahidi mara nyingi kuweka hii post lakini bila kufanya hivyo! Tunazungumzia chunusi mnyama, shetani, jini au kizuka. Sio chunusi zile za usoni zinazotokana kwa sehemu...
25 Reactions
143 Replies
42K Views
Hii ni Supu ya shilingi 500 hapa Buguruni, hivi kwa hali hii unaweza ukapata akili ya kuwa na vitu vikubwa? Buguruni hii kuna mpaka Chips za 500. Wali ule unaouzwa 2,000 maeneo mengine hapa...
72 Reactions
251 Replies
11K Views
Aiseeee kuna mambo ambayo yakifanyika mpaka unaogopa, nipo maeneo ya Mbezi na askari wa MP wamewapigisha kwata dereva na konda wake. Kilichotokea inasikitisha sana na mpaka tumeshauri wakampime...
17 Reactions
132 Replies
4K Views
Inakuaje mnafunga ndoa na binti leo alafu siruhusiwi kuondoka na mke wangu mpaka baada ya siku mbili? Nina jamaa yangu leo kafunga ndoa kaja bila mke kisa heti ukoo wake unatakiwa ukae siku mbili...
0 Reactions
1 Replies
2 Views
Habari wakuu, natumaini mapambano ya maisha yanaendelea… Mimi sio mwandishi mzuri ila nitajihidi nieleweke, bila kupoteza wakati, leo ningependa kushare jambo kuhusu pesa za moto’ (real story)...
0 Reactions
8 Replies
286 Views
Kwa wanao mpinga Lissu watueleze ni kitu gani anachosema cha muungano sio cha kweli? https://www.youtube.com/live/hmLasxyFJQg?si=lLw63NG_Fuxm-byT Kama kuna mtu ambaye sio Mzanzibari hapa ana...
3 Reactions
9 Replies
155 Views
Habari zenu wana jamvi! Leo niko hapa ndugu zangu kwa ajili ya kuomba wenu ushauri ya kipi nifanye ili kuweza kukaa vyema kiuchumi. Kisa changu kinaanzia hapa; Tangu nilipoacha masomo yangu ya...
3 Reactions
22 Replies
180 Views
Tuongee ukweli kati ya Yammi na mke wa Barnabas nani mzuri be honest😜
2 Reactions
25 Replies
53 Views
Tundu Lissu ameendelea na Mikutano ya Hadhara na leo yupo wilaya ya Mpwapwa ambapo pamoja na mambo mengine amesema tangu atoe hoja zake siku ya Muungano, Aprili 26, 2024, wamekuwepo watu wengi...
8 Reactions
9 Replies
55 Views
Historia mwalimu mzuri, baada ya Lissu kushambuliwa kwa risasi, kiongozi mkuu wa kitaifa aliyeenda kumpa pole ni mzanzibari, leo anatembea huku na kule akimtukana. Tundu Lissu alimkimbia...
6 Reactions
38 Replies
682 Views

FORUM STATS

Threads
1,852,297
Posts
49,599,345
Back
Top Bottom