Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Wananchi wa kijiji cha Ndolezi kilipo kimondo maarufu cha Mbozi wamekuwa wakiishi hapo kabla ya wanasayansi kuthibitisha kuwa jiwe lile ni kimondo, hivyo kulipa jiwe hilo hadhi ya pekee...
12 Reactions
67 Replies
2K Views
Una kituko umekiona mtandaoni, tushirikishane hapa…
103 Reactions
220K Replies
16M Views
Huna kazi, huna biashara, huna urithi, huna pesa, hujasoma UDSM, huna ujuzi wowote, huna mzazi tajiri, huna kipaji halafu unamuomba Mungu akupe maisha marefu, sasa utakula nini?
0 Reactions
12 Replies
82 Views
Ukiwa member wa makundi ya Whassap, ya kifamilia, ukoo, mliosoma wote primary, O-Level, High School, Chuo, Kazini, Mtaani Kuna mzigo mzito sana wa michango ya rambirambi inakungoja. Kila kundi...
14 Reactions
53 Replies
1K Views
Kinavyosema kipengele namba 13 cha kanuni namba 11 ya Ligi Kuu toleo la mwaka 2023 kuhusu tuzo ya mfungaji bora kwenye NBC Premier League. Kwa jinsi mambo yanavyokwenda, unaiona ikienda kwa nani...
1 Reactions
4 Replies
132 Views
Tumekuwa tukiongozwa na viongozi wenye ahadi nzuri sana na tamu ukiangalia vizuri kabisa unaona maendeleo si haya na kiongozi si ndiye huyu. Lakini katika wakati wa utekelezaji wa ahadi zao sasa...
0 Reactions
1 Replies
33 Views
Salaam wandugu, Kumekuwa na malalamiko mengi sana yatokanayo na mambo ya mahusiano,uchumba na ndoa. Malalamiko haya mara nyingi yamesababishwa na kitu kinachoitwa UAMINIFU. Mwanaume anataka mke...
5 Reactions
45 Replies
506 Views
Ameandika Tundu Lissu kwenye Mtandao wa X Serikali ya SSH leo imevunja makazi ya Wamasai wa Sanya Station, karibu & airport ya KIA. Lengo ni kukabidhi eneo lao kwa kampuni ya Oman Airports ya...
1 Reactions
19 Replies
200 Views
Lengo kuu ukioachana na kujaribu kuiteka Israel October 7 ilikuwa ni kuua raia waisrael wengi kadri iwezekanavyo huku,, Target zilikuwa ni raia wema wasio na silaha kurahisisha zoezi lao...
2 Reactions
24 Replies
367 Views
Najua ni mara chache sana watu kuizungumzia Dodoma kwa sababu wanai-underrate nakudhani kuwa Dodoma imelala ukweli mchungu ni kuwa kwa kasi ya ukuaji wa mji huu kuna majiji mengi nchini yajiandae...
20 Reactions
5K Replies
214K Views

FORUM STATS

Threads
1,852,027
Posts
49,592,910
Back
Top Bottom