Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

A
Anonymous
Naomba Jamii Forums msaidie kupaza sauti ya huyu mzee apate msaada, tumemkuta anaishi chini ya hili jiwe, anadai yupo hapo tangu Mwaka 2011 baada ya CDA Dodoma kuvunja nyumba yake aliyojengewa kwa...
1 Reactions
3 Replies
94 Views
Usajili wa clabu mbili kongwe Simba na Yanga ikiwa simba imemsajili Freddy na yanga imemsajili guedde Ila ukweli mchungu kuna usajili wa upande moja ni hasara tu so tuta judge kwa kuangalia mechi...
4 Reactions
70 Replies
5K Views
Asubuhi ya leo wakati navua raba nilipotoka mazoezini, ghafla lilinijia wazo la ni nani alikuwa anaivaa raba hiyo kabla haijaletwa Tanzania kama mtumba!!?? Nikaanza kuangalia jinsi mitumba...
3 Reactions
10 Replies
150 Views
Weekend tulienda kupata mbili tatu tukawa nzwii,sasa akishalewa yeye si kama wale wengine ati zinashukia chini!. yeye akilewa ni amapiano Tu!. atafungua muziki na anataka mcheze mapiano! sasa mimi...
5 Reactions
15 Replies
201 Views
Akili mtu wangu ebu mtag rafiki mwenye timing kama hizi🤣🤣hapo kaskilizia mara kashasogea mdogomdogohuyo nae anajisevia msosi, ni akili tu mtu wangu
11 Reactions
6 Replies
752 Views
Mimi sijaoa Ingawa naelekea huko. Uzi wangu ni kwa dhumuni la kujifunza, hasa kutoka kwa wenye ndoa. Hili swali nimekuwa nikijiuliza mara nyingi sana. Sasa jana kuna movie moja ya Ki-Nigeria...
9 Reactions
104 Replies
858 Views
  • Sticky
Full name: Manchester United Football Club Nickname(s): The Red Devils Founded: 1878 as Newton Heath LYR F.C | 1902 as Manchester United F.C. League: Premier League Website: ManUtd.com...
169 Reactions
201K Replies
11M Views
DC Shaka awabana 2 Wengine 48 watafutwa na Jeshi la Polisi Jeshi la Polisi wilayani kilosa limewatia mbaroni watu wawili akiwemo Mwenyekiti wa Kitongoji cha Msowero A, Petro Sanga (Paroko)...
2 Reactions
23 Replies
267 Views
Mechi baina ya Simba dhidi ya Azam ndio itakayotoa mwanga ni timu ipi inaweza kucheza klabu bingwa msimu ujao. Azam wakiwa wameshuka dimbani mara 25 wakijikusanyia alama 57 wanapigana vita dhidi...
1 Reactions
20 Replies
649 Views
Hayo yameelezwa na KM wa CCM Dkt.John Nchimbi wakati wa ziara yake ya Mikoa 6 akiwa Njombe. DK Nchimbi ameonekana kushangazwa na kufurahishwa na Wingi wa miradi na maendeleo yaliyofanyika na...
5 Reactions
212 Replies
3K Views

FORUM STATS

Threads
1,851,846
Posts
49,587,172
Back
Top Bottom