Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Dah eti "kila mtu ana mshahara wake tusipelekeshane" ujinga sana huu wakuu. Sina mengi.
6 Reactions
31 Replies
384 Views
Wasomi wengi hawawezi kuongea Kiingereza kwa unyoofu na kwa kujiamini. Kuna msomi mmoja ilibidi nimuandikie barua ya kazi maana alikuwa anaenda kuabika kwa madudu aliyoandika. Ajabu ana 1.6 ya...
21 Reactions
134 Replies
3K Views
Nsikuchoshe na Usinchoshe,tusichoshane!. Watanzania wengi wameshakata tamaa ya maisha na hii si kwa wasiyo nacho tu, bali hata kwa walionacho!. Kila mtu anatafuta pesa kwa njia anayoifahamu yeye...
44 Reactions
367 Replies
82K Views
Kupitia ukurasa wake wa Instagram Zitto Kabwe amepost logo ya ACT-Wazalendo na kuandia ushairi huu; "Huzuni imenijaa Machoji yamejaa Moyoni kumepwaa Kukuacha hatimaye "Mlongo umenifaa Umekuwa...
0 Reactions
3 Replies
282 Views
Wadau kama kichwa cha topic kinavyosema, shauku kubwa la mim kuja hapa ni kutaka kupeana uzoefu wa kilimo cha vitunguu maji kw misimu ya hiv karbun kutokana na nyuz zlzomo jukwaani kuwa za miaka...
6 Reactions
65 Replies
3K Views
Mnec Richard Kasesela Leo amefika KKKT Kimara na Kutubu huku akilia sana baada ya kumkuta Mtu aliyemfukuza Kazi Iringa Mjini akiwa ni Muhubiri anayetumainiwa hapa jijini DSM Mwinjilisti Mwaulesi...
19 Reactions
62 Replies
3K Views
Kama unataka kuwa mwanasiasa maarufu Tanzania basi wewe onesha unapambana na CHADEMA. Kuna wakati Mzee Wasira aliomba kura ndani ya CCM kwa hoja kwamba yeye ndiye mwenye uwezo wa kupambana na...
10 Reactions
30 Replies
641 Views
Kampeni za kuchangishana zimekua nyingi sana, wakiwa wazima mpaka wanajirekodi wakilawitiana, sasahivi ni kutia huruma tuu, watu maarufu wanapenda sana kuchangiwa na walala hoi
3 Reactions
40 Replies
1K Views
Salaam; Kwa mujibu wa katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania sura ya tisa, ibara ya 147, kifungu kidogo cha (4). Tanzania ina majeshi manne ambayo ni: 1. Jeshi la Ulinzi 2. Jeshi la Polisi 3...
5 Reactions
581 Replies
31K Views
TPDF inapeleka kisago(sio kipigo) cha mbwa koko huko DRC Vijana wa M23 eti wanaonya JW kuendelea kuwashambulia itajilaumu baadae wameitaka iache mara moja vinginevyo itapigwa.
39 Reactions
351 Replies
38K Views

FORUM STATS

Threads
1,851,218
Posts
49,567,352
Members
667,810
Latest member
mambatz
Back
Top Bottom