Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Ukifika pale, huitaji kukagua vitabu vya orodha ya wageni kujua kuwa hoteli ina uhaba mkubwa wa wateja hasa wale wa kulala... Vyumba Vingi vina giza totoro ikiashiria kuwa viko tupu na pengine...
1 Reactions
17 Replies
2K Views
Kwenye Biblia, Adam alipoulizwa kwa nini kala tunda alilokatazwa, alijitetea kuwa si kosa lake, bali kashawishiwa na mke wake. Ingelikuwaje kama angelikubali kosa na kuomba msamaha? Daudi...
2 Reactions
16 Replies
187 Views
KUTOKA VITA VYA MAJI MAJI 1905 HADI KUUNDWA KWA TANU SOUTHERN PROVINCE 1955 Vita Vya Maji (1905 - 1907) ndiyo kielelezo cha juu kabisa kuonyesha unyama wa Wajerumani kwa wananchi waliosimama...
1 Reactions
1 Replies
54 Views
Moja ya hoteli ambayo ni alama katika mji kasoro bahari wa Morogoro ambayo ilianza kazi tangu mwaka 2007 imeingizwa sokoni. Wenye nia ya kununua wanatakiwa kuwasilisha pendekezo lao kabla ya May...
3 Reactions
9 Replies
121 Views
Nina jamaa zangu wa makabila haya kwakweli kusoma chats zao huwa ni mateso sana. Wenzangu mmewahi kumbana na hili? Unaweza weka screenshot bila kuonesha namba au jina la mhusika.
0 Reactions
0 Replies
1 Views
Dr Hussein Mwinyi Daktari wa binadamu na Rais wa Zanzibari kuwa Rais wa JMT 2025 na mgombea mwenza wake Ni Dr Titus Mlengeya kamani huyu ni waziri mstaafu na Daktari wa Wanyamapori Tanzania
4 Reactions
48 Replies
1K Views
Katika ulimwengu wa Teknolojia biashara zimerahisishwa sana,unachohitaji ni taarifa sahihi kwa wakati sahihi. Kupitia KV dropshipping tunakusaidia kupata taarifa sahihi za biashara yako na...
1 Reactions
19 Replies
251 Views
Dada wa kazi anahitajika, eneo la kazi ni Dodoma. Majukumu ni kukaa na mtoto mmoja na kazi ndogo ndogo za nyumbani. Posho yake ni 70,000/= kwa mwezi. Awe anajitambua. Tuwasiliane inbox 📥
3 Reactions
19 Replies
293 Views
TUZIFAHAMU FAMILIA 13 ZA ILLUMINATI ZINAZOIENDESHA DUNIA NA MAISHA YA BINADAMU KATIKA NYANJA ZOTE. Kwa nini ni muhimu kuzifahamu familia 13 za illuminati? Katika kitabu kinachoitwa"Holy blood...
8 Reactions
102 Replies
9K Views
Wakuu nina degree ya Accounting and Finance nipo Arusha jinsia ni mwanaume kukaa home kunachosha. Kama kuna mtu ana sehemu anataka hata mtu wa kumbebea mafile Arusha mimi nipo.
5 Reactions
29 Replies
334 Views

FORUM STATS

Threads
1,851,154
Posts
49,566,450
Members
667,814
Latest member
mambatz
Back
Top Bottom