Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

  • Poll
Taarifa kamili kutoka ndani ya makao makuu ya chama zinasema kuwa chama hiko kwasasa hakiwezi kuwa pamoja either mmoja kati ya Mbowe au Lissu aondoke ndani ya chama hicho. Mzozo mkali umeibuka...
7 Reactions
97 Replies
5K Views
Moja kwa moja kwenye mada… Huyu rafiki yangu alinitongoza sana. Yani miaka 3 straight anafukuzia tu, nipe nipe.. Mapenzi game la nyoka bwana, nikaachika huko. Nikasema nimpe chance huyu mgaagaa...
37 Reactions
198 Replies
3K Views
Mdada ni Mnigeria ana pikipiki zile za masafa marefu, yupo mpakani kasimamishwa na wana mamlaka wetu. Wakaanza kuongea nae kiingereza, aibu nimeona mimi. Mdada ana camera kaifunga nadhani kwenye...
7 Reactions
70 Replies
2K Views
Zamani nilijua wanaume ndio tunajisogeza na kusimama nyuma ya wanawake ili tu kugusa makalio yao na sehemu zetu za siri na kuna wanaume ambao walikuwa wanamaliza kabisa haja zao palepale wakati...
14 Reactions
159 Replies
5K Views
Muhimu: Elewa neno asilimia kubwa haimanishi ni wote, hata wazaramo wakimya wapo lakini asilimia kubwa ni waongeaji Introverts ni wachache sana lakini wana asilimia kubwa kwenye kufanikiwa...
3 Reactions
17 Replies
144 Views
Monday, February 12, 2001 ----------------------------------------------------------------- Shock as Tanzania Acts Against 'Aliens' A JOINT REPORT THE EASTAFRICAN THE GOVERNMENT...
2 Reactions
322 Replies
48K Views
Ofa za usajili zilizokuja mezani za Kibu Denis kutoka nje ya Tanzania ni kutoka Misri, Sweden 🇸🇪 na Norway. Amethibitisha meneja wa mchezaji huyo, Carlos Mastermind.
7 Reactions
32 Replies
1K Views
Kadri miaka inavyozidi kwenda, pia speed ya muda unaongezeka. Siku hizi unashangaa tu kumekucha hujakaa sawa giza hilo. Je kuna uwezekano dunia iinazunguka kwa kasi with time, I mean kadri...
9 Reactions
57 Replies
636 Views
Ndugu zangu niliona uzi humu ukikataza kuwa na urafiki na askari polisi, ila mimi nakazia Zaidi hata hawa mgambo ni wa hovyoo tu. Kuna mgambo alikuja kwangu kunipa taarifa kwamba nahitajika kituo...
4 Reactions
11 Replies
115 Views
Hili swali nimeulizwa na huyu mtoto wangu mdogo! Kila mcheshi anadhani anaweza kuwa MC na wengi wamevamia huko, cha ajabu ni wachache sana kati yao wenye angalau. Japo lengo lao kujipatia...
2 Reactions
6 Replies
463 Views

FORUM STATS

Threads
1,850,897
Posts
49,558,701
Members
667,701
Latest member
zacharia erick
Back
Top Bottom