Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Toka mwaka jana pm yangu haifunguki nishafungua nyuzi nyingi za kucomplain but nyie mnaojiita viongozi sijui wamaliki wa jf mnaziignore, inabidi mjue bila sisi hampati hela ya ugali. Cookie...
2 Reactions
9 Replies
10 Views
Najua, Wengi wenu badala ya kujikita kwenye hoja, mtanijadiri na tena siyo tu kunijadiri, ila ni kwa kutoa matusi! Ni kweli hatuwezi kuwa na mtazamo sawa, na hii inakuja ili kutufanya tuonekane...
2 Reactions
20 Replies
152 Views
https://youtu.be/Anpu1A8votA?si=98jTv4wJXuINnMdV Asisitiza Samia akane kama sio Mzanzibar? Amesoma katiba ya Zanzibar ikieleza Zanzibar ni nchi, kwa hiyo sio kweli Samia katoka nchini Zanzibar?
3 Reactions
3 Replies
30 Views
Na Fredrick Nwaka Tanzania ni nchi inayosifiwa Afrika na duniani kote kwa utulivu wa kisiasa, ikilinganishwa na mataifa jirani kama Kenya, Uganda, Rwanda, Burundi, Msumbiji na DRC ambazo zote...
0 Reactions
12 Replies
151 Views
Makamu mwenyekiti wa CHADEMA Tundu Lissu amesema kuna mchezo haramu unafanyika kwenye utoaji wa vibali vya kuagiza sukari nchini, na kama wahusika watabisha (watakanusha) tuhuma hizi basi...
1 Reactions
3 Replies
4 Views
Kuna wale ambao mungu ametupendelea hata tukikaa jela miezi kadhaa huwa hatuchuji, tunafanyiwa figisu za hapa na pale ili tuharibikiwe na kufubaa lakini bado tunazidi kung'aa tu na maadui zetu...
5 Reactions
47 Replies
752 Views
Kulingana na baadhi ya Wakenya kutaka hii battle. Sasa ni muda mwafaka wa kuonesha kipi Nairobi kipo hakipo Dar es salaam na kipo Dar es salaam hakipo Nairobi. Ninaomba tuangalie katika positive...
123 Reactions
512K Replies
29M Views
Kuwa wa kwanza kufahamu kwamba, ile wiki ya Maandamano awamu ya kwanza, inahitimishwa leo, ambapo Mjini Morogoro kunafanyika maandamano yenye lengo la kupinga Ugumu wa Maisha na Sheria mbovu za...
7 Reactions
21 Replies
384 Views
Nimesafiri umbali mrefu sana kwenda angaza kupima HIV na kwa bahati nzuri majibu yamekuja negative. Hii ni hatua muhimu kwenye ya kuwa makini na kujilinda. Asikwambie mtu kusubiri hayo majibu...
4 Reactions
7 Replies
83 Views
Wakuu bila shaka mnaendelea vyema. Baada ya kuwaza Thread 'Nawekezaje bumu linisaidie kulipa ada?' Nawekezaje bumu linisaidie kulipa ada? Nikaona thread ya jamaa humu akielezea kwamba unaweza...
4 Reactions
25 Replies
463 Views

FORUM STATS

Threads
1,849,836
Posts
49,529,191
Members
667,256
Latest member
sir dick
Back
Top Bottom