Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Salaam, Shalom. Ni wiki sasa, Mwanasheria msomi Tundu Lissu ametoa HOJA nzito kuhusiana na Muungano wetu, na anatoa HOJA Kwa kutumia Katiba ya nchi iliyopo. Cha kushangaza wanaibuka viongozi...
15 Reactions
75 Replies
1K Views
Kweli Kizimkazi anawanyoosha nyie wanyonge wa nchi hii Leo nilitoka nikapanda usafiri wa umma ni muda sana sijapanda daladala Kumbe nauli zimepanda kiasi hiki😢 Halafu mnaimba kuwa anaupiga...
7 Reactions
40 Replies
772 Views
Nimevumilia vya kutosha nikidhani kama kuna mtu anayekerwa na fumbuzi wa matatizo ya muungano yaliyotolea kwenye kikao cha pamoja kati ya Mh. Lowassa na Mh. Nahodha. Kitu kinachonitisha ni...
19 Reactions
5K Replies
530K Views
Tuliozoe Chadema wakiguswa , Marekani anatoa kauli . lkn hivi sasa yanatokea Marekani wanafunzi wanondamana na kuchezea mkongoto sidhani Mareakni anaweza kusimama kukemea nchi nyengine raia wake...
0 Reactions
30 Replies
220 Views
Mchungaji Mbarikiwa Mwakipesile jumapili iliyopita wamati wa ibada katika kanisa lake linalojulikana kama, 'Kikosi kazi cha injili', alimuita mmoja wa waumini wake kijana anayeitwa Eliya na...
0 Reactions
3 Replies
33 Views
Nimekua nikifuatilia mijadala mingi sana ya viongozi wetu, na kugundua kwamba tofauti na watanganyika, wenzetu wazanzibari wote kwa pamoja wako macho sana kuhusu maslahi yao ndani ya muungano...
7 Reactions
31 Replies
445 Views
Ukweli ndio huo Watanganyika hua mnafuata nini zanzibar? Mbona sioni sababu ya msingi ya ninyi kwenda huko na sioni mnalofuata huko, Bakini kwenu mjenge kwenu wale wakija wakaribisheni, wala...
4 Reactions
32 Replies
233 Views
Dunia inaelekea kwenye magari ya umeme. Cha kushangaza sisi bungeni tunahangaika na kuweka mifumo ya gesi kwenye magari. Miaka ishirini mbele maga karibu yote yatakuwa ya umeme. Habari ya magari...
0 Reactions
15 Replies
212 Views
Ndugu zangu Watanzania, Hakuna mtanzania mwenye akili Timamu ambaye huwa anapenda ubaguzi au kubaguliwa au kumuunga mkono mtu anayeona amejaa mawazo ya kibaguzi na chuki katika kifua chake.kwa...
0 Reactions
30 Replies
151 Views
Huyu mtu naona katumwa siyo bure kabisa. Anasema kama mzalendo anamshauri Rais asiongeze mishahara ili fedha hizo zikatatatue kero za mafuriko na kwenye uchaguzi WA serikali za mitaa. Huyu...
0 Reactions
0 Replies
1 Views

FORUM STATS

Threads
1,849,935
Posts
49,532,756
Members
667,285
Latest member
gee dara 2024
Back
Top Bottom